Farm for sale at Chibelela, Dodoma

 media -1
media -1
Sh. 7,500,000
Installment Allowed
Agriculture

SHAMBA LA ZABIBU LINAUZWA CHIBELELA MPUNGUZI DODOMA KWA MILIONI 7.5 TU.

Lipo 33km kutoka mjini na 3km kutoka barabara ya lami.

Lina ukubwa wa ekari moja, mitaro 25 yenye mizabibu inayozaa.

Ukiliboresha vizuri unaweza kurudisha gharama ulizonunulia shamba ndani ya mwaka mmoja tu.

Na uzuri ni kwamba unaweza kuendelea kuvuna zabibu zaidi ya miaka 40. This is a lifetime investment.

Bei ni milioni 7.5 tu

Site fee 20,000

Dalali Msomi Dodoma
dalali_msomi_dodoma0672312302
Dalali Msomi Dodoma

Similar items by location

Farm for sale at Chibelela, Dodoma
  • Agriculture

Sh. 7,500,000

SHAMBA LA ZABIBU LINAUZWA CHIBELELA MPUNGUZI DODOMA KWA MILIONI 7.5 TU.Lipo 33km kutoka mjini na 3k...