House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
Sh. 100,000 per sqm
Project
Yes

SWIPE LEFT ➡️ UONE VIWANJA VYETU VIZURI

BUNJU BEACH, Bunju ambayo upepo unavuma kutoka baharini moja kwa moja ambayo ipo juu.

➡️ Eneo la Viwanja linaangalia barabara kubwa kabisa inayojengwa lami muda sio mrefu.

➡️ Hapa tumepima viwanja 17 tu na vyote vipo sehemu ambayo unatoka barabara kubwa unaingia ndani kwako hapo hapo.

➡️ Viwanja vimepimwa na vipo katikati ya maeneo ambayo yote yamepimwa na yamepangika vizuri, nadhan bunju beach wengi mnaijua kwa kupangika.

➡️ Ukihitaji na hatimiliki utapatiwa baada ya kumaliza malipo kwa kuchangia gharama kidogo.

➡️ Viwanja vipo sehemu ambayo unapata upepo wa bahari vizuri sana.

➡️ Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

●●● Watu wa kujenga apartments hapa panawafaa pia tena sana maana kuna upepo wa bahari wa kutosha.

𝗕𝗘𝗜 𝗭𝗔 𝗩𝗜𝗪𝗔𝗡𝗝𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗞𝗘

Hapa tunauza sqm 1 kwa 100,000/=. Yaani tunamaanisha ukiwa na 45MILIONI unapata kiwanja hapa ushuani kabisa.

Ukubwa wa viwanja umeanzia sqm 446 mpaka sqm 875.

Inamaana ukihitaji kiwanja kikubwa zaidi unaruhusiwa kuunganisha viwanja viwili hadi vitatu ili mradi upate ukubwa unaotaka wewe.

Malipo ya hapa ni mkopo wa mwezi 1, utaanza na 80% ya bei ya kiwanja halafu inayobaki utamaliza ndani ya mwezi 1 tu.

𝗨𝗠𝗕𝗔𝗟𝗜 𝗪𝗔 𝗣𝗥𝗢𝗝𝗘𝗖𝗧 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗪𝗔𝗡𝗝𝗔

Hakuna umbali wowote maana eneo limegusa barabara kubwa yaani uwanja wa simba road.

𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗘𝗟𝗘𝗭𝗢 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜 𝗧𝗨𝗣𝗜𝗚𝗜𝗘 𝗡𝗔𝗠𝗕𝗔 𝗛𝗜𝗭𝗜
#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima, inamiliki na yenye mamlaka ya kupauza hapa.

Tunajari wateja wetu.

Pia usisahau kutuFollow sustainablecities_company
sustainablecities_company sustainablecities_company

Fika ofisini kwetu 𝗧𝗘𝗩𝗜 𝗖𝗢𝗠𝗠𝗘𝗥𝗖𝗜𝗔𝗟 𝗣𝗔𝗥𝗞(𝗶𝗹𝗶𝗽𝗼 𝗡𝗕𝗖 𝗕𝗔𝗡𝗞), 𝗠𝗕𝗘𝗭𝗜 𝗕𝗘𝗔𝗖𝗛 𝗧𝗔𝗡𝗞𝗜 𝗕𝗢𝗩𝗨 - 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

Plot for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 90,000,000

Plot for saleSqm 805Location: bunju beach mogaPrice: ml 90 maongezFull docoment Contact 071253165707...

Plot for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 48,000,000

🟢 NAUZA KIWANJA – BUNJU A📍 Umbali: Mita 500 kutoka barabara kuu📐 Ukubwa: 501 sqm📝 Umiliki: kimep...

3 Bedrooms House for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 250,000,000

🏡 NYUMBA INAUNZWA – BEI IMESHUSHWA 🔥💰 Bei Mpya: Milioni 250🗣️ Mazungumzo: Yapoo kidogo🔹 Muundo ...

4 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

26/12/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS 2LOCATION BUNJU A SHULE KMC KODI 400,000 KWA MWEZI MIEZI 4 ...

4 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

26/12/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS 2LOCATION BUNJU A SHULE KMC KODI 400,000 KWA MWEZI MIEZI 4 ...

Plot for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 150,000,000

ml 150 jamaa anashida sana kiwanja kipo bunju bchi sgm 900 fulu document vyuu bahali hiyo bei maonge...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

25/12/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS LOCATION BUNJU B KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3IPO NDANI YA...

House for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 180,000,000

NYUMBA INAUZWA DAR ES SALAM TZ.MAHALI BUNJU KIHARAKA.SQM 500BEI TSH MIL 180NYUMBA YENYE VYUMBA V3 SE...

4 Bedrooms House for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 70,000,000

Nyumba Inauzwa, Bunju AKutoka lami kilo mita 1 na nusu Bei ni Shilingi Milioni 70Ukubwa wa Kiwanja n...

House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

🌟 CHUMBA MASTER & SEBULE 🌟📍 Bunju – Dakika 1 kutoka Bus Stand🏠 Ndani ya fensi (zipo mbili)🔹 Muu...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

25/12/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS LOCATION BUNJU B KIHARAKA KODI 200,000 KWA MWEZI MIEZI 6IPO...

3 Bedrooms House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 1,000,000

#REPOST DALALIMBEZIBEACH_SEMBA 📍NYUMBA NZURI SANA 🏘️🏡 INAJITEGEMEA {STAND ALONE} INAPANGISHWA: IP...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

24/12/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS LOCATION BUNJU B KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3IPO NDANI YA...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

24/12/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS LOCATION BUNJU B KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3IPO NDANI YA...

3 Bedrooms House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

📍NYUMBA NZURI SANA 🏘️🏡 INAJITEGEMEA {STAND ALONE} INAPANGISHWA: IPO BUNJU MOGA {DAR ES SALAAM}INA...

Plots for sale at Bunju, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 500,000

Viwanja vinauzwa vipo Bunju AUkubwa wa Kiwanja Sqm 600 Bei ni Milioni 25 Laki 5 maongezi yapo.Baada ...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

23/12/2025NYUMBA INAPANGISHWA APARTMENTS LOCATION BUNJU B MABWEPANDE KODI 300,000 KWA MWEZI MIEZI 3V...

Plot for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

plot for saleArea sqm 869bunju A ml 50 topSITE VISIT: 50,000 TZS CONTACT: 0745 30 43 43 WHATSAPP

1 Bedrooms House for Rent at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

🌟 CHUMBA, SEBULE NA JIKO 🌟📍 Mahali: Bunju ‘B’ – Stand⸻🔹 Muundo wa Nyumba:• 🛏️ Chumba 1 cha kula...

Plot for sale at Bunju, Dar Es Salaam

Sh. 40,000

Plot 2 zinauzwa (Plot No. 43 & 44)Location Bunju B.3 Km kutoka Bagamoyo RoadPrice: 40,000/= SqmCall ...