House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


APARTMENT NZURI SANA INAPANGISHWA KIMARA MWISHO#400k
===
Vyumba 3 vya kulala kimojawapo master bedroom sebule kubwa dining jiko na public toilet
====
Bei:400,000 Kwa mwezi × 6 ( Malipo miezi 6)
====
Umbali km 1.2 Bajaji zipo na bodaboda 1000 kulia kama unaenda mbezi
===
Apartments zipo 2 kila apartment inajitegemea umeme na maji yanaflow chooni na jikon
====
Ndani ya fence parking #hakuna Ila gari inafika mpaka mlangoni
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
===
Contact
0742260844
0657384670