House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


APARTMENTS MPYA KALIII ZINAPANGISHWA KIMARA MWISHO
====
A. Vyumba 2 vya kulala kimojawapo master bedroom sebule jiko na public toilet
Kodi 600,000 Kwa mwezi × 6
===
B: chumba cha kulala
Sebule
Choo ndani
Jiko kubwa
Kodi 500,000 Kwa mwezi × 6
===
Umbali KM 1.2 bodaboda 1000
==
Ndani ya fence parking IPO
==
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
===
Kwa maelezo zaidi piga :---
0712528820
0685221354
Wote mnakalibishwa
Mr.