House for Rent at Msingi, Singida

 media -1
media -1
Sh. 100,000,000

NYUMBA INAUZWA AREA C -MTAA MZURI KABISA NA TULIVU.
________________________________
TAZAMA MBAKA MWISHO KUONA.

(Vyumba 04-masta moja,seble,jiko,dining,public toilet!.

KIWANJA-800sqm

DOCUMENT-HATI

BEI-ASK?

CHUKUA ELIMU HAPA (MUHIMU)
________________________________
1.MOJA KATI YA VIGEZO VYA MSINGI UNAPOANGALIA THAMANI YA NYUMBA NI MAHALI ILIPOJENGWA
________________________________

2.KATIKA MWAVULI WA REAL ESTATE UKITAKA KUWA REAL ESTATE INVESTOR MZURI LAZIMA UZINGATIE LOCATION PROPERTIES ZAKO ZILIPO.HIYO NI MOJA KATI YA SABABU ZA MSINGI SANA KIBIASHARA SABABU INASAIDIA KWENYE KUJUA THAMANI,KUPANGA BEI LAKINI PIA KUWEZA KUJUA RETURN YAKO (umewekeza lakini inaweza kukuchukua muda gani kupata ile pesa na faida kuanza kuiona?)
________________________________

3.KWA MKOA WA DODOMA MAENEO YENYE SOKO ZURI KIBIASHARA IWE KUPANGA,KUUZA NYUMBA BASI KWA HARAKA ZAIDI MAENEO YA AREA C,AREA D,UZUNGUNI,AREA A,AREA E(emmaus) Yanasoko zaidi
Naweza kukwambia nyumba nzuri ya kupanga Area C,Area D,Uzunguni,Emmaus(Area E) inaweza kuwa na bei kubwa kuliko nyumba zilizo maeneo ya kisasa,Ilazo,meriwa,makulu ama chidachi (Pita kwenye page hii hii kwaajili ya Research)
________________________________
04.NIWAIBIE SIRI REAL ESTATE INVESTORS Badala ya kujenga nyumba yako ya kupanga ilazo,kisasa,n.k ambako kuanzia kiwanja mpaka nyumba vitakugharimu zaidi ya 100M ni mara kumi bora zaidi kununua Nyumba za bei nafuu(Wengi huziita za kizamani) maeneo karibu na mjini ambazo ukazi-Renovate zikakaa katika ubora mzuri na ukapangisha kwa bei nzuri zaidi ya hata uko ulikotaka kujenga sababu soko la mjini ni kubwa na linalipa zaidi.Na hata kwenye kuuza unaeza uza bei nzuri zaidi lakini pia kupata mteja kwa haraka ukilinganisha na maeneo mengine
________________________________
05.WATU WENGI WANAKUWA NA HELA LAKINI WANAKOSA MTU SAHIHI WA KUMSHAURI,UKIHITAJI CONSULTATION KWENYE MASUALA YA REAL ESTATE NIPIGIE.
NI MUHIMU KUWA NA TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWA MTU SAHIHI KABLA YA KUFANYA JAMBO
"IF YOU WANT TO KNOW SOMETHING CONSULT AN EXPERT" SABABU SISI WASWAHILI HUWA TUNA MAJIBU YA KILA SWALI ILA HATUNA TAALUMA YA KILA KITU.
________________________________

Extraordinary_dodoma
dalali_extraordinary_dodoma
Extraordinary_dodoma

Similar items by location

3 Bedrooms House for sale at Msingi, Singida
  • Project

Sh. 85,000,000

SQM 1001 + MSINGI WA NYUMBA VYUMBA 3, MAJI DAWASA YAPO SITEGOBA CENTER, GOBA CENTER SQM 1001 INA HA...

Plot for sale at Msingi, Singida

Sh. 21,000,000

KIWANJA KINAUZWA-KINA MSINGI WA FENSI+FENSI UPANDE_______ _____________________________^__________MA...

Plot for sale at Msingi, Singida

Sh. 23,000,000

KIWANJA KINAUZWA-KINA MSINGI WA FENSI+FENSI UPANDE_______MAHALI-CHIDACHI WEST_______UKUBWA WA KIWANJ...

Plot for sale at Msingi, Singida

Sh. 201,000,000

KIWANJA KINAUZWA-KINA MSINGI WA FENSI+FENSI UPANDE_______________________________________________MAH...

Plot for sale at Msingi, Singida

Sh. 20,500,000

KIWANJA KINAUZWA-KINA MSINGI WA FENSI+FENSI UPANDE_______MAHALI-CHIDACHI WEST_______UMBALI TOKA TOWN...

Plot for sale at Msingi, Singida

Sh. 90,000,000

Jambo la kwanza ukiwa unataka kununuwa eneo ni location bila shaka, lazima ujiulize apa ni sehemu bo...

House/Apartment for Rent at Msingi, Singida

Sh. 200,000

NEW APARTMENT FOR RENT #2 ON COMPOUND #Location.Mongolandege Shule ya Msingi #Distance To Main Road ...

House/Apartment for Rent at Msingi, Singida

Sh. 200,000

NEW APARTMENT FOR RENT #2 ON COMPOUND #Location.Mongolandege Shule ya Msingi #Distance To Main Road ...

3 Bedrooms House for sale at Msingi, Singida

Sh. 42,000,000

NEW HOUSE FOR SALE NYUMBA MPYA INAUZWA...................................#SPECIFICATIONS Three Bedr...

3 Bedrooms House for sale at Msingi, Singida

Sh. 42,000,000

NEW HOUSE FOR SALE NYUMBA MPYA INAUZWA...................................#SPECIFICATIONS Three Bedr...

3 Bedrooms House for sale at Msingi, Singida

Sh. 42,000,000

NEW HOUSE FOR SALE NYUMBA MPYA INAUZWA...................................#SPECIFICATIONS Three Bedr...

Plot for sale at Msingi, Singida

Sh. 140,850,000

RESIDENTIAL HOUSE DESIGN 🏠🏠🏠SPECIFICATIONS/ REQUIREMENTS GROUND FLOOR1) Two Masterbedrooms 2) Lou...

Plot for sale at Msingi, Singida

Sh. 700,000,000

PLOT FOR SALE KIWANJA KIZURI KINAUZWA............#SPECIFICATIONS *Plot Size Square mita 900SQM, Whi...

3 Bedrooms House for sale at Msingi, Singida
  • Project

Sh. 85,000,000

SQM 1001 + MSINGI WA NYUMBA VYUMBA 3, MAJI DAWASA YAPO SITEGOBA CENTER, GOBA CENTER SQM 1001 INA HA...

3 Bedrooms House for sale at Msingi, Singida
  • Project

Sh. 85,000,000

SQM 1001 + MSINGI WA NYUMBA VYUMBA 3, MAJI DAWASA YAPO SITEGOBA CENTER, GOBA CENTER SQM 1001 INA HA...

Plot for sale at Msingi, Singida

Sh. 160,756,000

HOUSE OF YOUR DREAMS 🏠🏠🏠RESIDENTIAL HOUSE 🏠🏠🏠SPECIFICATIONS/ REQUIREMENTS GROUND FLOOR1) Two m...

Plot for sale at Msingi, Singida

Sh. 30,000

MSINGI WA GOROFA NA SQM 800, VINAUZWAKONA PLOTLocation(Madale Mikoroshini)Plot For Sale Size: SQM 8...

4 Bedrooms House for sale at Msingi, Singida

Sh. 1,000,000,000

*Kiwanja chenye msingi wa Ghorofa tano lenye view ya Bahari na muonekano wa Jiji la Dar kinauzwa Mas...

House for sale at Msingi, Singida

Sh. 12,000,000

KIWANJA CHENYE MSINGI WA NYUMBA KINAUZWA KIMARA MWISHO###KINA MSINGI WA VYUMBA V3 KULALA K1 MASTER,S...

3 Bedrooms House for sale at Msingi, Singida

Sh. 50,000

KIWANJA CHENYE MSINGI INAUZA BANK, SQM. 600, TSHS.7 MILIONI, MABWEPANDE. Hapa ni wastani wa kilomita...