Nyumba inapangishwa Msingi, Singida

 media -1
media -1
Sh. 100,000,000

NYUMBA INAUZWA AREA C -MTAA MZURI KABISA NA TULIVU.
________________________________
TAZAMA MBAKA MWISHO KUONA.

(Vyumba 04-masta moja,seble,jiko,dining,public toilet!.

KIWANJA-800sqm

DOCUMENT-HATI

BEI-ASK?

CHUKUA ELIMU HAPA (MUHIMU)
________________________________
1.MOJA KATI YA VIGEZO VYA MSINGI UNAPOANGALIA THAMANI YA NYUMBA NI MAHALI ILIPOJENGWA
________________________________

2.KATIKA MWAVULI WA REAL ESTATE UKITAKA KUWA REAL ESTATE INVESTOR MZURI LAZIMA UZINGATIE LOCATION PROPERTIES ZAKO ZILIPO.HIYO NI MOJA KATI YA SABABU ZA MSINGI SANA KIBIASHARA SABABU INASAIDIA KWENYE KUJUA THAMANI,KUPANGA BEI LAKINI PIA KUWEZA KUJUA RETURN YAKO (umewekeza lakini inaweza kukuchukua muda gani kupata ile pesa na faida kuanza kuiona?)
________________________________

3.KWA MKOA WA DODOMA MAENEO YENYE SOKO ZURI KIBIASHARA IWE KUPANGA,KUUZA NYUMBA BASI KWA HARAKA ZAIDI MAENEO YA AREA C,AREA D,UZUNGUNI,AREA A,AREA E(emmaus) Yanasoko zaidi
Naweza kukwambia nyumba nzuri ya kupanga Area C,Area D,Uzunguni,Emmaus(Area E) inaweza kuwa na bei kubwa kuliko nyumba zilizo maeneo ya kisasa,Ilazo,meriwa,makulu ama chidachi (Pita kwenye page hii hii kwaajili ya Research)
________________________________
04.NIWAIBIE SIRI REAL ESTATE INVESTORS Badala ya kujenga nyumba yako ya kupanga ilazo,kisasa,n.k ambako kuanzia kiwanja mpaka nyumba vitakugharimu zaidi ya 100M ni mara kumi bora zaidi kununua Nyumba za bei nafuu(Wengi huziita za kizamani) maeneo karibu na mjini ambazo ukazi-Renovate zikakaa katika ubora mzuri na ukapangisha kwa bei nzuri zaidi ya hata uko ulikotaka kujenga sababu soko la mjini ni kubwa na linalipa zaidi.Na hata kwenye kuuza unaeza uza bei nzuri zaidi lakini pia kupata mteja kwa haraka ukilinganisha na maeneo mengine
________________________________
05.WATU WENGI WANAKUWA NA HELA LAKINI WANAKOSA MTU SAHIHI WA KUMSHAURI,UKIHITAJI CONSULTATION KWENYE MASUALA YA REAL ESTATE NIPIGIE.
NI MUHIMU KUWA NA TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWA MTU SAHIHI KABLA YA KUFANYA JAMBO
"IF YOU WANT TO KNOW SOMETHING CONSULT AN EXPERT" SABABU SISI WASWAHILI HUWA TUNA MAJIBU YA KILA SWALI ILA HATUNA TAALUMA YA KILA KITU.
________________________________

Extraordinary_dodoma
dalali_extraordinary_dodoma
Extraordinary_dodoma

Similar items by location

Kiwanja kinauzwa Msingi, Singida

Sh. 8,000,000

PLOT FOR SALE KIWANJA KIZURI KINAUZWA PAMOJA NA MSINGI WAKE........#SPECIFICATIONSPlot Size Square m...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida
  • Project

Sh. 85,000,000

SQM 1001 + MSINGI WA NYUMBA VYUMBA 3, MAJI DAWASA YAPO SITEGOBA CENTER, GOBA CENTER SQM 1001 INA HA...

Kiwanja kinauzwa Msingi, Singida

Sh. 6,500,000

KIWANJA CHENYE MSINGI WA NYUMBA KINAUZWA NA MWENYEWE KIPO MBAGALA KONGOWE MLAMLEN KWA MAMA FLORA (LU...

Kiwanja kinauzwa Msingi, Singida

Sh. 130,000,000

...KIWANJA KINAUZWA #MBEZI_MWISHO NYUMBA YA MAGUFURI BUS STANDUkubwa-sqm 1245Umbali KM 1 KWAGARI PI...

Kiwanja kinauzwa Msingi, Singida

Sh. 130,000,000

...KIWANJA KINAUZWA #MBEZI_MWISHO NYUMBA YA MAGUFURI BUS STANDUkubwa-sqm 1245Umbali KM 1 KWAGARI PI...

Kiwanja kinauzwa Msingi, Singida

Sh. 130,000,000

...KIWANJA KINAUZWA #MBEZI_MWISHO NYUMBA YA MAGUFURI BUS STANDUkubwa-sqm 1245Umbali KM 1 KWAGARI PI...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida

Sh. 30,000,000

#KIWANJA KIZURI KINAUZWA #LOCATION:KWA MSUGURI UMBALI KUTOKA STEND KILOMETA 1.7#SIFA ZAKE:==========...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida
  • Project

Sh. 85,000,000

SQM 1001 + MSINGI WA NYUMBA VYUMBA 3, MAJI DAWASA YAPO SITEGOBA CENTER, GOBA CENTER SQM 1001 INA HA...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida
  • Project

Sh. 85,000,000

SQM 1001 + MSINGI WA NYUMBA VYUMBA 3, MAJI DAWASA YAPO SITEGOBA CENTER, GOBA CENTER SQM 1001 INA HA...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Msingi, Singida

Sh. 400,000

APARTMENT FOR RENT #Location.Mongolandege Shule ya Msingi #Zero Distance To Main Road #Price.400,000...

Viwanja vinauzwa Msingi, Singida
  • Project

Sh. 170,000,000

KIWANJA KIKUBWA NA KINA MSINGI WA FENSI ILAZO JIRANI NA MARTIN LUTHER/TMDA_________________________M...

Kiwanja kinauzwa Msingi, Singida

Sh. 7,000,000

KIWANJA KINAUZWA NYASHISHI KINA MSINGI WA VYUMBA 3 MASTA 1 PUBLIC TOILET SEBULE+JIKOUKUBWA 20 KWA 25...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida

Sh. 60,000,000

APARTMENT HOUSE DESIGN 🏠🏠🏠🦺SPECIFICATUONS / REQUREMENTSINCLUDE FOUR UNITS ( Three Bedrooms and T...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida
  • Project

Sh. 85,000,000

SQM 1001 + MSINGI WA NYUMBA VYUMBA 3, MAJI DAWASA YAPO SITEGOBA CENTER, GOBA CENTER SQM 1001 INA HA...

Nyumba inauzwa Msingi, Singida

Sh. 30,000,000

PLOT YENYE MSINGI WA NYUMBA IMARAINAUZWA TABATA KINYEREZI KIFURU/ESTERUKUBWA 35 KWA 27BEI MILLION 30...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida
  • Project

Sh. 85,000,000

SQM 1001 + MSINGI WA NYUMBA VYUMBA 3, MAJI DAWASA YAPO SITEGOBA CENTER, GOBA CENTER SQM 1001 INA HA...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida
  • Project

Sh. 85,000,000

SQM 1001 + MSINGI WA NYUMBA VYUMBA 3, MAJI DAWASA YAPO SITEGOBA CENTER, GOBA CENTER SQM 1001 INA HA...

Kiwanja kinauzwa Msingi, Singida

Sh. 20,000,000

KIWANJA KINA MSINGI WA FENSI KINAUZWA MAKULU MKALAMA JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 562 sq.mKina HATIKi...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida

Sh. 30,000,000

SIFA YA NYUMBA *NYUMBA NI MPYAAA*IPO JIRANI NA SHULE YA MSINGI ALLIANCE *ENEO LAKE SQM 700*UMEME NA ...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msingi, Singida

Sh. 30,000,000

SIFA YA NYUMBA *NYUMBA NI MPYAAA*IPO JIRANI NA SHULE YA MSINGI ALLIANCE *ENEO LAKE SQM 700*UMEME NA ...