House for sale at Mawasiliano, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 200,000

*KABLA YA KUANZA UJENZI SOMA HAYA MAELEZO KUHUSU MAKADIRIO UTANISHUKURU BAADAE*

Katika Post hii blchomes tunakuelezea vitu vya kuzingatia unapofanya bajeti yako ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya ujenzi, iwe plumbing, wiring, skimming, tiles n.k ⬇️

Usisahau kusave post hii kwani itakusaidia baadae kwa sababu asilimia kubwa ya kazi za ujenzi zinasimama au kuishiaa katikati kwa kukwama hapa

🔰... *Tiririka nayo*⤵️ ➡️

Ukishapewa makadirio ya ujenzi na fundi wako, kitu ambacho inabidi ukiweke kichwani ni kwamba, shughuli za ujenzi zinakubwa na mabadiriko/changamoto nyingi ambazo zitahitaji hela ya ziada ukitoa ile ya makadirio uliyopewa na fundi.

➡️ Changamoto au mabadiriko hayo ni kama vile hali ya hewa(mvua), mabadiriko ya bei ya materials kukosewa kwa makadirio, kuharibika kwa materials katika usafirishaji au utunzaji n.k.

Mabadiriko au Changamoto hizi zote zitahitaji fedha ambazo mara nyingi hazipo kwenye Makadirio ya awali uliyopewa

➡️ Kipi unatakiwa kufanya ukipewa makadirio na fundi ili usikwame? ⬇️ ➡️

Hakikisha makadirio yoyote unayopewa ongeza asilimia 10 mpaka 20 ya ile hesabu uliyopewa ili kuepukana na hizo changamoto.

➡️ Kwa mfano makadirio ni Tsh 2,000,000/= materials pamoja na ufundi .

Basi kabla ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya kuendeleza jengo basi hakikisha una kiasi kisichopungua Tsh 2,200,000. Hii 200,000 ya ziada itasaidia pale changamoto au mabadiriko ya bei yanapoibuka.

Blchomes tunaendelea kufanya ujenzi kuchora ramani na tunakusaidia kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba yako au jengo lolote

Umeipenda post hii?

Basi like na kushare kwa marafiki ambao unahisi itawasaidia.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie au WhatsApp number 0742892195

#ujenzinafuu#ujenziwqnyumba#ujenzighorofa#building#siteprogress#kujenga#3bedrooms#4bedrooms#3bedrooms#ujenzinafuu#ujenzidaressalaam#nyumbazakisasa#nyumbanzurisinza

real estate company _ Tanzania
blchomes_
real estate company _ Tanzania

Similar items by location

3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 1,000,000

STAND ALONE @inapangishwa @Bei milioni 1,000,000 kwa mwez@Malipo miez 6 na dalali 7@Ni nyumba ya vyu...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSIC MAHALI: MEDELI JIRANI NA LAMI-----------------------------MUUNDO WA N...

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 220,000,000

KIWANJA CHA KWANZA LAMI KINAUZWA NJEDENGWA JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 1,700 sq.mCha kwanza lamiKina...

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 8,500,000

KIWANJA KINAUZWA MICHESE MWANZO WA LAMI/BLOCK ZE JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 458 sq.mKinafaa kwa MAK...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSIC MAHALI: MAKULU JIRANI NA LAMI-----------------------------MUUNDO WA N...

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 13,000,000

KIWANJA KIZURI SANA KWA MAKAZI KINAUZWA_______MAHALI-MICHESE_______UMBALI TOKA TOWN-6KM_______UKUBWA...

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 8,500,000

KIWANJA KINAUZWA KIKUYU SGR, CHA NNE KUTOKA SGR JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 465 sq.mCha nne kutoka S...

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 25,000,000

KIWANJA KINAUZWA ILAZO EXTENSION_______MAHALI-ILAZO EXTENSION (BLOCK E)_______UMBALI TOKA TOWN-8KM__...

2 Bedrooms House for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 2,000,000

STAND ALONE @Inapangishwa @Bei 2,000,000 kwa mwez@Malipo miez 6 na dalali 7@Ipo maeneo ya kijintonya...

3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 1,000,000

STAND ALONE @Inapangishwa @Bei 1,000,000 kwa mwez@Kodi ya miez 6 na dalali 7@Ipo maeneo ya kijintony...

House/Apartment for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 13,000,000,000

NYUMBA IZO ZINAUZWA @Bei bilioni 1,3@Sqm 1915@Hati miliki ipo@Panafaa uwekezaji wowote @Ma apartment...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 400,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSIC MAHALI: ITEGA DODOMA 📌 JIRANI NA LAMI——————MUUNDO WA NYUMBA⏭️VYUMBA...

Plots for sale at Mawasiliano, Morogoro
  • Project

Sh. 23,000,000

VIWANJA VIWILI(02) VIZURI VINAUZWA KWA PAMOJA_______MAHALI-MAHUNGU (SINGIDA-MWANZA ROAD)_______UMBAL...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSIC MAHALI: KIKUYU-----------------------------MUUNDO WA NYUMBA⏭️VYUMBA 2...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 170,000

*APARTMENT NZURI KABISA**INAPANGISHWA* *KIMARA TEMBONI*💥 *KODI YAKE 170K X 4//**ILIPWE LAKI MOJA NA...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

NEW APARTMENT FOR RENT LOCATION KIMARA BARUTI DK 15 TOKA MOROGORO ROAD BEI NI 300,000/=X6SIFA ZAKE N...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

NEW APARTMENT FOR RENT LOCATION KIMARA BARUTI DK 15 TOKA MOROGORO ROAD BEI NI 300,000/=X6SIFA ZAKE N...

House for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 55,000,000

ZIMESHUKA BEI-NYUMBA ZIKO 2 ZINAUZWA KATIKA KIWANJA KIMOJA AREA C (SIMBA HOTEL)KARIBU NA TOWNWAWEKEZ...

House/Apartment for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 480,000,000

NYUMBA IYOOO INAUZWA @Bei milioni 480 @Ukubwa wa kiwanja sqm 400@Kina hati miliki ya wizara@Pazur sa...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 200,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 200,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #VYU...