Nyumba inauzwa Mawasiliano, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 200,000

*KABLA YA KUANZA UJENZI SOMA HAYA MAELEZO KUHUSU MAKADIRIO UTANISHUKURU BAADAE*

Katika Post hii blchomes tunakuelezea vitu vya kuzingatia unapofanya bajeti yako ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya ujenzi, iwe plumbing, wiring, skimming, tiles n.k ⬇️

Usisahau kusave post hii kwani itakusaidia baadae kwa sababu asilimia kubwa ya kazi za ujenzi zinasimama au kuishiaa katikati kwa kukwama hapa

🔰... *Tiririka nayo*⤵️ ➡️

Ukishapewa makadirio ya ujenzi na fundi wako, kitu ambacho inabidi ukiweke kichwani ni kwamba, shughuli za ujenzi zinakubwa na mabadiriko/changamoto nyingi ambazo zitahitaji hela ya ziada ukitoa ile ya makadirio uliyopewa na fundi.

➡️ Changamoto au mabadiriko hayo ni kama vile hali ya hewa(mvua), mabadiriko ya bei ya materials kukosewa kwa makadirio, kuharibika kwa materials katika usafirishaji au utunzaji n.k.

Mabadiriko au Changamoto hizi zote zitahitaji fedha ambazo mara nyingi hazipo kwenye Makadirio ya awali uliyopewa

➡️ Kipi unatakiwa kufanya ukipewa makadirio na fundi ili usikwame? ⬇️ ➡️

Hakikisha makadirio yoyote unayopewa ongeza asilimia 10 mpaka 20 ya ile hesabu uliyopewa ili kuepukana na hizo changamoto.

➡️ Kwa mfano makadirio ni Tsh 2,000,000/= materials pamoja na ufundi .

Basi kabla ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya kuendeleza jengo basi hakikisha una kiasi kisichopungua Tsh 2,200,000. Hii 200,000 ya ziada itasaidia pale changamoto au mabadiriko ya bei yanapoibuka.

Blchomes tunaendelea kufanya ujenzi kuchora ramani na tunakusaidia kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba yako au jengo lolote

Umeipenda post hii?

Basi like na kushare kwa marafiki ambao unahisi itawasaidia.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie au WhatsApp number 0742892195

#ujenzinafuu#ujenziwqnyumba#ujenzighorofa#building#siteprogress#kujenga#3bedrooms#4bedrooms#3bedrooms#ujenzinafuu#ujenzidaressalaam#nyumbazakisasa#nyumbanzurisinza

real estate company _ Tanzania
blchomes_
real estate company _ Tanzania

Similar items by location

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 30,000

Apartment kali sanaa@Inapangishwa@Bei 250.000 kwa mwez@Mahali urafiki@Malipo miez 6 na dalali 7@Umem...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSICMAHALI: MLIMWA C📌-----------------------------MUUNDO WA NYUMBA⏭️CHUMB...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

NYUMBA NZIMA INAPANGISHWA INA VYUMBA VIWILI VYA KULALA KIMOJA SELF SEBURE NA JIKO IKO RRM SAE NANE N...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 400,000

APARTMENT NZURI SANA YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 400,000/= X 6DALALI MZOEFU MWEZI MMOJA ULIPIAPO N...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

APARTMENT IPO JIRANI NA BARABARA INAPANGISHWA 500KITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 01/02/2026 DALALI MZOEF...

Nyumba inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 200,000,000

NYUMBA YA KUBOMOA INAUZWA INATAZAMA LAMI (PRIME AREA)______MAHALI-UZUNGUNI(MTAA MZURI-USHUANI)______...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 8,500,000,000

KIWANJA KIZURI KISASA POLISI KINATAZAMA LAMI KIPO KARIBU NA DAR ROAD/MORO ROAD(KIMESHUKA BEI)_______...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

APARTMENT IPO JIRANI NA BARABARA INAPANGISHWA 500KITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 01/02/2026 APARTMENT HI...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

🏡New Studio Apartment Kali Sana Inamaliziwa Finishing Baada Ya Week PRICE: 300,000 Location: MAWAS...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 400,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSICMAHALI: MAKULU OSTABAY-----------------------------MUUNDO WA NYUMBA⏭️V...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

INAPANGISHWA APARTMENT CLASSICMAHALI: MAKULU OSTABAY📌-----------------------------MUUNDO WA NYUMBA⏭...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 130,000,000

NAUZA HUU UWANJA UKUBWA WAKE SQM 1200 UKO NANE NANE MBEYA JIJI BEI MILLION 130 MAWASILIANO 075625872...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 200,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 200,000/= X 6💥APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #CHUMB...

Nyumba inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 260,000,000

NYUMBA NZURI SANA INAUZWA🌴__________________📍MAHALI- CHIDACHI__________________ 🚪 MUUNDO-Vyumba ...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 430,000,000

KIWANJA CHA KWANZA LAMI KIKALI (COTNER PLOT) NJEDENGWA INVESTMENT_______MAHALI-NJEDENGWA INVESTMENT...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 450,000

NYUMBA NZURI KUBWA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENSI INAPANGISHWA BEI NI 450,000/= X 6PESA YA TAHA...

Viwanja vinauzwa Mawasiliano, Morogoro
  • Project

Sh. 6,500,000

HAPA NINA VIWANJA VITATU VINAUZWA HATUA 20 KWA 20 KWA KILA UWANJA BEI MILLION 6.5LOCATION NI MWASANG...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 200,000

Nyumba inayojitegemea yenyewe inapangishwa ipo kimara korogwe maeneo ya kilungule kwa mwarabu (Darwe...

Nyumba inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

MASTER NA SEBULE IPO SURVEYKODI MIEZI 6 BEI 150kYAKUWAHI 🏃🏃🏃PIGA SIMUKUHAMIA MWISHO WA MWEZI 2DAL...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

#REPOST DALALIMBEZIBEACH_SEMBA APARTMENT FOR RENT MAHALI -BAHARI BEACHCHUMBA MASTER SEBULE JIKO NA P...