Nyumba inauzwa Mawasiliano, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 200,000

*KABLA YA KUANZA UJENZI SOMA HAYA MAELEZO KUHUSU MAKADIRIO UTANISHUKURU BAADAE*

Katika Post hii blchomes tunakuelezea vitu vya kuzingatia unapofanya bajeti yako ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya ujenzi, iwe plumbing, wiring, skimming, tiles n.k ⬇️

Usisahau kusave post hii kwani itakusaidia baadae kwa sababu asilimia kubwa ya kazi za ujenzi zinasimama au kuishiaa katikati kwa kukwama hapa

🔰... *Tiririka nayo*⤵️ ➡️

Ukishapewa makadirio ya ujenzi na fundi wako, kitu ambacho inabidi ukiweke kichwani ni kwamba, shughuli za ujenzi zinakubwa na mabadiriko/changamoto nyingi ambazo zitahitaji hela ya ziada ukitoa ile ya makadirio uliyopewa na fundi.

➡️ Changamoto au mabadiriko hayo ni kama vile hali ya hewa(mvua), mabadiriko ya bei ya materials kukosewa kwa makadirio, kuharibika kwa materials katika usafirishaji au utunzaji n.k.

Mabadiriko au Changamoto hizi zote zitahitaji fedha ambazo mara nyingi hazipo kwenye Makadirio ya awali uliyopewa

➡️ Kipi unatakiwa kufanya ukipewa makadirio na fundi ili usikwame? ⬇️ ➡️

Hakikisha makadirio yoyote unayopewa ongeza asilimia 10 mpaka 20 ya ile hesabu uliyopewa ili kuepukana na hizo changamoto.

➡️ Kwa mfano makadirio ni Tsh 2,000,000/= materials pamoja na ufundi .

Basi kabla ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya kuendeleza jengo basi hakikisha una kiasi kisichopungua Tsh 2,200,000. Hii 200,000 ya ziada itasaidia pale changamoto au mabadiriko ya bei yanapoibuka.

Blchomes tunaendelea kufanya ujenzi kuchora ramani na tunakusaidia kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba yako au jengo lolote

Umeipenda post hii?

Basi like na kushare kwa marafiki ambao unahisi itawasaidia.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie au WhatsApp number 0742892195

#ujenzinafuu#ujenziwqnyumba#ujenzighorofa#building#siteprogress#kujenga#3bedrooms#4bedrooms#3bedrooms#ujenzinafuu#ujenzidaressalaam#nyumbazakisasa#nyumbanzurisinza

real estate company _ Tanzania
blchomes_
real estate company _ Tanzania

Similar items by location

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 30,000

NYUMBA ‘@Inapangishwa@Bei 500,000 kwa mwez@Mahali kijintonyama@Ni nyumba ya vyumba 2 sebuke jiko cho...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 517,158

NYUMBA INAUZWA IPO MOROGORO MJINI INA VYUMBA VITATU SEBULE JIKO INA UMEME NA MAJI TAYARI NDANI YA FE...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 170,000

APARTMENT YA KISASA INAPANGISHWA SIOYA KUKOSA NDUGU MTEJA UTAJILAUMU BEBA PESA KABISA APARTMENT HII...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

APARTMENT NZURI YA KISASA NA IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA BEI NI 250,000/= X 6🌟 APARTMENT HII I...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 170,000

APARTMENT YA KISASA INAPANGISHWA SIOYA KUKOSA NDUGU MTEJA UTAJILAUMU BEBA PESA KABISA APARTMENT HII...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

APARTMENT NZURI YA KISASA NA IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA BEI NI 250,000/= X 6🌟 APARTMENT HII I...

Mashamba yanauzwa Mawasiliano, Morogoro
  • By Installment
  • Agriculture
  • Project

Sh. 67,000 per month

Hivi unajua kwamba unaweza kulipia shamba au kiwanja Kila mwezi bila stress🔥🔥 MASHAMBANI (Chalinze...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 85,000,000

NYUMBA INAUZWA ILAZO NORTH JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 750 sq.mIna vyumba vinneMaster bedroom Sebule...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 28,000,000

KIWANJA CHA NNE KUTOKA LAMI KINAUZWA IYUNBU SHULE YA MFANO JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 880 sq.mKina ...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 85,000,000

KIWANJA KINAFAA KWA UWEKEZAJI AU MAKAZI CORNER PLOT KINAUZWA KISASA BLOCK D B CENTRE JIJINI DODOMAEn...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 33,000,000

KIWANJA KINAUZWA 📍Mahali - *CHIDACHI* jirani kabisa na geti la shule ya St. Mary*Sqm 665*Documents ...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 73,000,000

KIWANJA CHA KWANZA RING ROAD📍 *KITELELA**Sqm 2,520* Kiwanja matumizi yake ni *Biashara* (COMMERCIAL...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 70,000,000

NYUMBA INAUZWA ILAZO NORTH BLOCK B JIJINI DODOMAIna vyumba vinneMaster bedroom Sebule, Dinning Jiko,...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 30,000

NYUMBA IYO @Inapangishwa @Bei 500.000 kwa mwez‘@Malipo miez 6 na dalali 7@Ni nyumba ya vyumba 2 sebu...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 2,500,000

STAND ALONE@Inapangishwa @Bei milioni 2.500.000 kwa mwez@Kwa kuishi / ofisi poa@Malipo miez 6 na dal...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 95,000,000

KIWANJA ITEGA KWA BEI NZURI______MAHALI-ITEGA(BLOCK S______UKUBWA WA KIWANJA-2380SQM_______DOCUMENT-...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 320,000,000

📍NYUMBA NZURI SANA 🏘️🏡 INAUZWA: IPO UNUNIO BEACH 🏖️ (DAR ES SALAAM)INA VYUMBA VITATU SEBLE DININ...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 55,000,000

KIWANJA KINAUZWA ITEGA BLOCK FF______MAHALI-ITEGA______UKUBWA WA KIWANJA-1386SQM_______DOCUMENT-HATI...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 75,000,000

KIWANJA KINA FENSI PANDE MBILI KINAUZWA KISASA JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 1,040 sq.mKina FENSI pand...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 55,000,000

KIWANJA KINAUZWA ITEGA BLOCK FF______MAHALI-ITEGA______UKUBWA WA KIWANJA-1386SQM_______DOCUMENT-HATI...