Nyumba inauzwa Mawasiliano, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 200,000

*KABLA YA KUANZA UJENZI SOMA HAYA MAELEZO KUHUSU MAKADIRIO UTANISHUKURU BAADAE*

Katika Post hii blchomes tunakuelezea vitu vya kuzingatia unapofanya bajeti yako ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya ujenzi, iwe plumbing, wiring, skimming, tiles n.k ⬇️

Usisahau kusave post hii kwani itakusaidia baadae kwa sababu asilimia kubwa ya kazi za ujenzi zinasimama au kuishiaa katikati kwa kukwama hapa

🔰... *Tiririka nayo*⤵️ ➡️

Ukishapewa makadirio ya ujenzi na fundi wako, kitu ambacho inabidi ukiweke kichwani ni kwamba, shughuli za ujenzi zinakubwa na mabadiriko/changamoto nyingi ambazo zitahitaji hela ya ziada ukitoa ile ya makadirio uliyopewa na fundi.

➡️ Changamoto au mabadiriko hayo ni kama vile hali ya hewa(mvua), mabadiriko ya bei ya materials kukosewa kwa makadirio, kuharibika kwa materials katika usafirishaji au utunzaji n.k.

Mabadiriko au Changamoto hizi zote zitahitaji fedha ambazo mara nyingi hazipo kwenye Makadirio ya awali uliyopewa

➡️ Kipi unatakiwa kufanya ukipewa makadirio na fundi ili usikwame? ⬇️ ➡️

Hakikisha makadirio yoyote unayopewa ongeza asilimia 10 mpaka 20 ya ile hesabu uliyopewa ili kuepukana na hizo changamoto.

➡️ Kwa mfano makadirio ni Tsh 2,000,000/= materials pamoja na ufundi .

Basi kabla ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya kuendeleza jengo basi hakikisha una kiasi kisichopungua Tsh 2,200,000. Hii 200,000 ya ziada itasaidia pale changamoto au mabadiriko ya bei yanapoibuka.

Blchomes tunaendelea kufanya ujenzi kuchora ramani na tunakusaidia kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba yako au jengo lolote

Umeipenda post hii?

Basi like na kushare kwa marafiki ambao unahisi itawasaidia.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie au WhatsApp number 0742892195

#ujenzinafuu#ujenziwqnyumba#ujenzighorofa#building#siteprogress#kujenga#3bedrooms#4bedrooms#3bedrooms#ujenzinafuu#ujenzidaressalaam#nyumbazakisasa#nyumbanzurisinza

real estate company _ Tanzania
blchomes_
real estate company _ Tanzania

Similar items by location

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 360,000

(NYUMBA ZINAPANGISHWA➖➖➖➖➖➖➖➖MAHALI: MBEZIMWISHO DK 10 KWA MIGUU KUTOKA STAND➖➖➖➖➖➖➖➖HAPA KUNA NYUMB...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 360,000

(NYUMBA ZINAPANGISHWA➖➖➖➖➖➖➖➖MAHALI: MBEZIMWISHO DK 10 KWA MIGUU KUTOKA STAND➖➖➖➖➖➖➖➖HAPA KUNA NYUMB...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 450,000

APARTMENT INAPANGISHWA IPO KIMARA MWISHO UPANDE WA KUSHOTO KAMA UNAENDA MBEZI UKIWA UNATOKEA MJINI ...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 200,000

APARTMENT KALI SANA YA KISASA KABISA INAPANGISHWA LOCATION: MBEZI KWAMSUGULI KODI 200,000X4UMBALI T...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 450,000

APARTMENT INAPANGISHWA IPO KIMARA MWISHO UPANDE WA KUSHOTO KAMA UNAENDA MBEZI UKIWA UNATOKEA MJINI ...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 200,000

APARTMENT KALI SANA YA KISASA KABISA INAPANGISHWA LOCATION: MBEZI KWAMSUGULI KODI 200,000X4UMBALI T...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 400,000

Apartment kali sanaaaa@Inapangishwa ‘@Bei 400,000 kwa mwez @Malipo miez 6 na dalali 7@Ipo maeneo ya ...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 600,000

Apartment ya kisasa @Inapangishwa @Mahali kijintonyama@Bei 600,000 kwa mwez @Malipo miez 7 na dalali...

Nyumba inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

APATIMENTI KALI SANA YA KIBACHELAINAPANGISHWA IPO KIMARA TEMBONI UMBALI KUTOKA MOROGORO ROAD NI KM ...

Nyumba inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

APATIMENTI KALI SANA YA KIBACHELAINAPANGISHWA IPO KIMARA TEMBONI UMBALI KUTOKA MOROGORO ROAD NI KM ...

Nyumba inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000,000

NYUMBA INAUZWAIKO BAHARI BEACHBEI NI MIL 300 tshUWANJA NI SQMT 600INA HATI MILIKI SAFIMAWASILIANO ZA...

Viwanja vinauzwa Mawasiliano, Morogoro
  • Project

Sh. 13,000,000

VIWANJA VITATU VIMEUNGANA VINAUZWA MAHOMA MAKULU BLOCK "AB" JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 642 sq.m, 60...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

Apartment kali sanaa @Inapangishwa @Bei 250,000 kwa mwez @Kodi ya miez 6 na dalali 7@Mahali chanagan...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

Apartment kali sanaa @Inapangishwa @Bei 250,000 kwa mwez @Malipo miez 6 na dalali 7@Ipo maeneo ya mi...

Nyumba inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

APARTMENT KALI SANA INA CHUMBA NA SEBURE SELF NA JIKO LOCATION VETA MBEYA JIJI KODI YAKE 350K MAWASI...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

APARTMENT KALI SANA INA VYUMBA VIWILI VYA KULALA KIMOJA SELF SEBURE JIKO LOCATION VETA MBEYA JIJI KO...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 35,000,000

KIWANJA KINAUZWA ILAZO MARTIN LUTHER/NYUMA YA TMDA JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 735 sq.mKina HATIKipo...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 280,000

Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa KIMARA KOROGWE KILUNGULEKodi 280,000 × 6Ni chumba masterSebul...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 280,000

Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa KIMARA KOROGWE KILUNGULEKodi 280,000 × 6Ni chumba masterSebul...

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000,000

NYUMBA NZURI SANA 🏡🏘️ INAUZWA MAHALI: SALASALA MWANZONIINA VYUMBA VITANO SEBLE DINING JIKO NA PUBL...