Nyumba inauzwa Mawasiliano, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 200,000

*KABLA YA KUANZA UJENZI SOMA HAYA MAELEZO KUHUSU MAKADIRIO UTANISHUKURU BAADAE*

Katika Post hii blchomes tunakuelezea vitu vya kuzingatia unapofanya bajeti yako ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya ujenzi, iwe plumbing, wiring, skimming, tiles n.k ⬇️

Usisahau kusave post hii kwani itakusaidia baadae kwa sababu asilimia kubwa ya kazi za ujenzi zinasimama au kuishiaa katikati kwa kukwama hapa

🔰... *Tiririka nayo*⤵️ ➡️

Ukishapewa makadirio ya ujenzi na fundi wako, kitu ambacho inabidi ukiweke kichwani ni kwamba, shughuli za ujenzi zinakubwa na mabadiriko/changamoto nyingi ambazo zitahitaji hela ya ziada ukitoa ile ya makadirio uliyopewa na fundi.

➡️ Changamoto au mabadiriko hayo ni kama vile hali ya hewa(mvua), mabadiriko ya bei ya materials kukosewa kwa makadirio, kuharibika kwa materials katika usafirishaji au utunzaji n.k.

Mabadiriko au Changamoto hizi zote zitahitaji fedha ambazo mara nyingi hazipo kwenye Makadirio ya awali uliyopewa

➡️ Kipi unatakiwa kufanya ukipewa makadirio na fundi ili usikwame? ⬇️ ➡️

Hakikisha makadirio yoyote unayopewa ongeza asilimia 10 mpaka 20 ya ile hesabu uliyopewa ili kuepukana na hizo changamoto.

➡️ Kwa mfano makadirio ni Tsh 2,000,000/= materials pamoja na ufundi .

Basi kabla ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya kuendeleza jengo basi hakikisha una kiasi kisichopungua Tsh 2,200,000. Hii 200,000 ya ziada itasaidia pale changamoto au mabadiriko ya bei yanapoibuka.

Blchomes tunaendelea kufanya ujenzi kuchora ramani na tunakusaidia kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba yako au jengo lolote

Umeipenda post hii?

Basi like na kushare kwa marafiki ambao unahisi itawasaidia.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie au WhatsApp number 0742892195

#ujenzinafuu#ujenziwqnyumba#ujenzighorofa#building#siteprogress#kujenga#3bedrooms#4bedrooms#3bedrooms#ujenzinafuu#ujenzidaressalaam#nyumbazakisasa#nyumbanzurisinza

real estate company _ Tanzania
blchomes_
real estate company _ Tanzania

Similar items by location

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

0679 997610 APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 300,000/= X 6🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIF...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

500K X6NYUMBA YA KI FAMILIA INAPANGISWA KIBANDA CHA MKAA UMBALI KM 2STAND ALON KALI SANA INAPANGISWA...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 300,000/= X 6🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #CHUM...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

500K X6NYUMBA YA KI FAMILIA INAPANGISWA KIBANDA CHA MKAA UMBALI KM 2STAND ALON KALI SANA INAPANGISWA...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 300,000/= X 6🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #CHUM...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 700,000

SPACIOUS 3BED HOUSE FOR RENT..🥰🥰..PENGINE UNAHITAJI KWAAJILI YA KUISHI AU KUFUNGUA OFISI?✔️ Vyumb...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 45,000,000

KIWANJA KINAUZWA KINA FENSI PANDE 02_______MAHALI-MAKULU(MAPINDUZI)_______UKUBWA WA KIWANJA-463SQM__...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 80,000,000

KIWANJA CHA KWANZA LAMI ILAZO-KINA FENSI NA GETI_______MAHALI-ILAZO (MITA 300 KUTOKA LAMI MORO-DAR)_...

Nyumba inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

0679 997610 NI APARTMENT NZURI MPYAAA KABISA APARTMENT ZIPO MBEZI MWISHO UPANDE WA KULIA KAMA UNAEND...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 150,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #CHU...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 400,000

APARTMENT MPYA ZA KISASA ZINAPANGISHWA BEI NI 400,000/= X 6 💥ZIMEBAKIA 2 TUU NDUGU MTEJA CHANGAMKA�...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 150,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #CHU...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 400,000

APARTMENT MPYA ZA KISASA ZINAPANGISHWA BEI NI 400,000/= X 6 💥ZIMEBAKIA 2 TUU NDUGU MTEJA CHANGAMKA�...

Nyumba inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

NI APARTMENT NZURI MPYAAA KABISA APARTMENT ZIPO MBEZI MWISHO UPANDE WA KULIA KAMA UNAENDA MBEZI UMBA...

Nyumba inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

NI APARTMENT NZURI MPYAAA KABISA APARTMENT ZIPO MBEZI MWISHO UPANDE WA KULIA KAMA UNAENDA MBEZI UMBA...

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 48,000,000

NYUMBA YA TANO KUTOKA LAMI INAUZWA ILAZO BLOCK C JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 638 sq.mIna vyumba vit...

Kiwanja kinauzwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 7,800,000

KIWANJA KINA FENSI UPANDE MMOJA KINAUZWA MICHESE BLOCK YL JIRANI NA TANESCO JIJINI DODOMAEneo ukubwa...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

Apartment kali sanaa @Inapangishwa @Bei 500,000 kwa mwez @Malipo miez 6 na dalali 7@Ipo maeneo ya ki...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

Apartment kali sana @Inapangishwa @Bei 350,000 kwa mwez@Malipo miez 6 na dalali 7@Mahali kijintonyam...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 300,000/= X 6 ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 16/07/2025 KU...