House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


𝗜𝗡𝗔𝗣𝗔𝗡𝗚𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 (𝟮𝟱𝟬𝗸 𝗧𝘀𝗵𝘀): Ni apartment ya chumba kimoja cha kulala 'MASTER BEDROOM', FULL AC, Sebule na Jiko zuri lenye makabati...Ipo ndani ya fensi, parking space kubwa na inajitegemea umeme na maji.
𝗠𝗔𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗜𝗟𝗜𝗣𝗢: KIMARA MWISHO Upande wa kulia kama Unatoka Ubungo...Umbali ni km 1.5 kutoka Morogoro road.
𝗕𝗘𝗜 𝗬𝗔𝗞𝗘: Laki mbili na elfu hamsini tu (250,000/- Tshs) × miezi 4 + Mwezi mmoja malipo ya Dalali.
𝗦𝘂𝗿𝘃𝗲𝘆 𝗰𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲 kupelekwa kuon nyumba ni Tshs 15,000/- tu...Italipwa mara moja na itatumika hiyo hiyo ikiwa mteja utataka kuona nyumba zingine.
𝗣𝗜𝗚𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗨: 0758 892945 (Inapatikana WhatsApp)