House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


π£Nyumba nzuri Inapangishwa karibu na kituo cha mwendokasi,
π KIMARA KOROGWE
π Kodi Tsh 250,000/= Γ12 (Inatakiwa kodi ya mwaka, baada ya hapo utaanza lipia kwa miezi 6)
_
___________
#Umbali wa dakika 3 tu kwa miguu
β’ Jiko
β’ Sebule
β’ Chumba Master
β’ Choo Cha Wageni
* Inajitegeme UMEME
* Maji ndani
* Ndani ya Fensi
* Parking Kubwa
* Mazingira tulivu sana
_______
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 250,000/=
#Kupelekwa kuona ni 15,000/=
#0753172516