1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







inapangishwa KIMARA KOROGWE
π Kodi Tsh 150,000 /= 3
πChumba kimoja master kubwa sana
πSehemu ya jiko
π Umeme submeter Yako mwenyewe
π :Maji yanaflow Ndani
π :Ndani ya Fensi
π :Parking Kubwa
:Nyumba ni mpya NAIFAULISHA
iko umbali wa 1km kutoka mwendokasi , Usafiri Bajaji 500 Ukishuka Dk 2 Boda Boda 1,000 Mpaka getini
π Barabara Nzuri ya Lami
_________________
#Malipo ya dalali Tsh 150,000/=
#Kupelekwa kuona Tsh 15,000/=
Call #0785889413π₯π₯
WhatsApp