4 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


π―οΈInapangishwa STAND ALONE (Nyumba inayojitegemea yenyewe kwenye Fensi)
π KIMARA TEMBONI
π Kodi 600,000 X6
_____
_____
β’ Vyumba 4 vya kulala (kati ya hivyo vyumba 2 ni master)
β’ Sebule
β’ Dinning
β’ Jiko Zuri
β’ Choo cha Familia
π Kuna SERVANT QUARTER ya Chumba na Jiko la Nje
* Inajitegemea Yenyewe kwenye fensi
* Garden
* Parking Kubwa sana
* Mazingira mazuri mno
#Umbali wa KM 2 Usafiri wa bajaji upo nauli 700/=
π Inakuwa wazi Tarehe 25/07/2024, kuona na kulipia ruksa
_______
π *MUHIMU SANA:-*
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 600,000/=
#Kupelekwa kuona nyumba 15,000/=
β:- 0753172516