House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







๐น๐ฟ APARTMENT #INAPANGISHWA
๐kimara korogwe
๐Dakika 8_10 Kutembea kutoka kituo cha Mwendokasi kwa mguu
#SIFAZAKE
Nichumba Kimoja Cha wastani
Choo shea Wawili tu
#Umeme luku wanashare 3 # Maji yanaflow ndani
#Nyumba hii ipo ndani ya fance packing KUBWA โ
#Mazingira Tulivu Sana no uswahili hapa
# Kodi Tsh 800,00/=x6 (Miezi Sita)
# Malipo ya Dalali Tsh 80,000/=
#Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_๐simu 0659244543
Mpangaji Ana Toka 18/10/2025