1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







๐น๐ฟ #NEW APARTMENT INAPANGISHWA#
โโโโโ
๐Eneo: Kimara Korogwe
๐ Umbali: Dakika 3 tu kwa mguu kutoka Stand ya Mwendo Kasi, jirani kabisa na barabara.
๐ก#SIFA ZAKE
๐น Chumba kimoja Master kikubwa
๐น Sebule kubwa
๐น Jiko kubwa nzuri sana
๐น Umeme & Maji โ Inajitegemea
๐น Maji yanapatikana ndani Reserve Tank Yako Dawasa 24/7
๐น Fensi hamna & Packing kubwa sana
๐ Nyumba ni MPYA, iko tayari kuhamia kuanzia tarehe 21/12/2025
๐ Kuona nyumba na kufanya malipo kunaruhusiwa
#GHARAMA
๐ฒ Kodi: Tsh 250,000/= ร 6 (miezi sita)
๐ฒ Malipo ya Dalali: Tsh 250,000/=
๐ฒ Service Charge: Tsh 20,000/=
๐คซ Nakuibia siri mteja โ maongezi kidogo yapo .
#Piga_simu๐
#๐ . &Whatsapp
us๐
Karibu Sana Mteja๐



















