Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #NEW APARTMENT INAPANGISHWA#
➖➖➖➖➖
📍Eneo: Kimara Korogwe
🕗 Umbali: Dakika 3 tu kwa mguu kutoka Stand ya Mwendo Kasi, jirani kabisa na barabara.
🏡#SIFA ZAKE
🔹 Chumba kimoja Master kikubwa
🔹 Sebule kubwa
🔹 Jiko kubwa nzuri sana
🔹 Umeme & Maji – Inajitegemea
🔹 Maji yanapatikana ndani Reserve Tank Yako Dawasa 24/7
🔹 Fensi hamna & Packing kubwa sana
👉 Nyumba ni MPYA, iko tayari kuhamia kuanzia tarehe 21/12/2025
👉 Kuona nyumba na kufanya malipo kunaruhusiwa
#GHARAMA
🌲 Kodi: Tsh 250,000/= × 6 (miezi sita)
🌲 Malipo ya Dalali: Tsh 250,000/=
🌲 Service Charge: Tsh 20,000/=
🤫 Nakuibia siri mteja — maongezi kidogo yapo .
#Piga_simu👇
#📞 . &Whatsapp
us🙏
Karibu Sana Mteja😁



















