2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 350,000

(350,000X6)KIMARA BUCHA DK 5 KWA MIGUU KUTOKA MOROGORO ROAD
➖➖➖➖➖➖➖➖
APARTMENT NZURI KUBWA YA KISASA INAPANGISHWA ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 25/09/2024 AU MAPEMA ZAIDI YA HAPO

🌟🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO

#VYUMBA 2 VIKUBWA VYA KULALA
#SEBULE KUBWA
#HAKUNA MASTER
#JIKO KUBWA LINA MAKABATI MAZURI
#CHOO KIZURI CHA NDANI KWA NDANI
#LUKU NA MITA YA MAJI DAWASA INAJITEGEMEA
#PARKING

‼️FENSI IPO IMEJENGWA NUSU ILA KUNA WALINZI WANALINDA NA USALAMA NI WA UHAKIKA

BEI NI 350,000/= X 6

💫💫 APARTMENT HII IPO KIMARA BUCHA KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI DK 5 TUU KWA MIGUU

KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 15 NA UKIIPENDA NYUMBA HII UTALIPIA KODI YA MWEZI MMOJA YA UDALALI

📌📌 NDUGU MTEJA APARTMENT HII ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 25/09/2024 KUONA NDANI ENDAPO MPANGAJI ATAKUWEPO NI RUKSA KABISA NA MALIPO YANAPOKELEWA
➖➖➖➖➖➖➖➖➖
CONTACT US:-
071622342
0683597453

dalali_kimara_mbezimwisho_goba
dalali_kimara_mbezimwish_goba
dalali_kimara_mbezimwisho_goba

Similar items by location

Plots for sale at Kimara, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 140,000 per sqm

Mradi wa ViwanjaSqm 1 = 140,000/=Kimara Korogwe njia ya maji chumviContact; 0624209485Viwanja VIPO K...

Plots for sale at Kimara, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 140,000 per sqm

Mradi wa ViwanjaSqm 1 = 140,000/=Kimara Korogwe njia ya maji chumviContact; 0624209485Viwanja VIPO K...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

NI APARTMENT 2 TU KWENYE COMPAUND MOJA ===================NA KILA MMOJA INAJITEGEMEA UMEME LUKU YAKE...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

NI APARTMENT 2 TU KWENYE COMPAUND MOJA ===================NA KILA MMOJA INAJITEGEMEA UMEME LUKU YAKE...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA➖➖➖➖➖📍Kimara Bucha, Dar es Salaam 🕑Dakika 5 Kutembea Kutoka Morogoro ...

3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

HII NYUMBA INAJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENSI YAKE #SEBULE KUBWA#VYUMBA 3 VYA KULALA#CHUMBA KIMOJA MA...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 450,000

APARTMENT 🔥 MPYA YA KISASA 🔥 INAPANGISHWA KIMARA SUKA BEI NI 450,000/= X 6🌟 APARTMENT HII INA SI...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

#0625606710NEW APARTMENT FOR RENT ##ZIPO KIMARA KOROGWE MAENEO YA KILUNGULE UMBALI WA KM 1.5 KUTOKA ...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

#0625606710NEW APARTMENT FOR RENT ##ZIPO KIMARA KOROGWE MAENEO YA KILUNGULE UMBALI WA KM 1.5 KUTOKA ...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 450,000

——APARTMENT 🔥 MPYA YA KISASA 🔥 INAPANGISHWA KIMARA SUKA BEI NI 450,000/= X 6🌟 APARTMENT HII INA ...