Plot for sale at Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
Sh. 100,000,000

NYUMBA INAUZWA AREA C-IPO KARIB NA MJINI.

(Vyumba 03-Kimoja masta,seble,jiko,dining,public toilet!)

KIWANJA-500sqm

DOCUMENT-HATI

BEI-ASK?

CHUKUA ELIMU HAPA (MUHIMU)
____________________________________________
1.MOJA KATI YA VIGEZO VYA MSINGI UNAPOANGALIA THAMANI YA NYUMBA NI MAHALI ILIPOJENGWA
____________________________________________

2.KATIKA MWAVULI WA REAL ESTATE UKITAKA KUWA REAL ESTATE INVESTOR MZURI LAZIMA UZINGATIE LOCATION PROPERTIES ZAKO ZILIPO.HIYO NI MOJA KATI YA SABABU ZA MSINGI SANA KIBIASHARA SABABU INASAIDIA KWENYE KUJUA THAMANI,KUPANGA BEI LAKINI PIA KUWEZA KUJUA RETURN YAKO (umewekeza lakini inaweza kukuchukua muda gani kupata ile pesa na faida kuanza kuiona?)
________________________________________________

3.KWA MKOA WA DODOMA MAENEO YENYE SOKO ZURI KIBIASHARA IWE KUPANGA,KUUZA NYUMBA BASI KWA HARAKA ZAIDI MAENEO YA AREA C,AREA D,UZUNGUNI,AREA A,AREA E(emmaus) Yanasoko zaidi
Naweza kukwambia nyumba nzuri ya kupanga Area C,Area D,Uzunguni,Emmaus(Area E) inaweza kuwa na bei kubwa kuliko nyumba zilizo maeneo ya kisasa,Ilazo,meriwa,makulu ama chidachi (Pita kwenye page hii hii kwaajili ya Research)
_____________________________________________
04.NIWAIBIE SIRI REAL ESTATE INVESTORS Badala ya kujenga nyumba yako ya kupanga ilazo,kisasa,n.k ambako kuanzia kiwanja mpaka nyumba vitakugharimu zaidi ya 100M ni mara kumi bora zaidi kununua Nyumba za bei nafuu(Wengi huziita za kizamani) maeneo karibu na mjini ambazo ukazi-Renovate zikakaa katika ubora mzuri na ukapangisha kwa bei nzuri zaidi ya hata uko ulikotaka kujenga sababu soko la mjini ni kubwa na linalipa zaidi.Na hata kwenye kuuza unaeza uza bei nzuri zaidi lakini pia kupata mteja kwa haraka ukilinganisha na maeneo mengine
_______________________________________________
05.WATU WENGI WANAKUWA NA HELA LAKINI WANAKOSA MTU SAHIHI WA KUMSHAURI,UKIHITAJI CONSULTATION KWENYE MASUALA YA REAL ESTATE NIPIGIE.
NI MUHIMU KUWA NA TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWA MTU SAHIHI KABLA YA KUFANYA JAMBO
"IF YOU WANT TO KNOW SOMETHING CONSULT AN EXPERT" SABABU SISI WASWAHILI HUWA TUNA MAJIBU YA KILA SWALI ILA HATUNA TAALUMA YA KILA KITU.
____________________________________________

Extraordinary_dodoma
dalali_extraordinary_dodoma
Extraordinary_dodoma

Similar items by location

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 30,000,000

KIWANJA KINA FENSI KOTE KINAUZWA CHIDACHI JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 507 sq.mKina fensi KoteMaji/Um...

2 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 280,000,000

*Nyumba inauzwa Arusha mjini (NGARA MTONI)**Distance* Mita 300 tu kutoka Barabara ya lami kwenda Na...

2 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 280,000,000

*Nyumba inauzwa Arusha mjini (NGARA MTONI)**Distance* Mita 300 tu kutoka Barabara ya lami kwenda Na...

5 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 63,000,000

NYUMBA INAUZWA DODOMA MJINI MAHUNGU NYUMBA INA VYUMBA 5 VIWILI MASTER SEBULE 1 UKUBWA WA KIWANJA 45...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 29,000,000

KIWANJA MAENEO YA MJINI KATI KINAUZWA______MAHALI-MEDELI EAST(MAARUFU KAMA CHADURU)MTAA OPPOSITE NA ...

House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 810,000

MABADILIKO KWENYE BEI-MASTA 03 KUBWA WAPANGAJI WANALIPA 150,000@MWEZI-MASTA NDOGO WAPANGAJI WANALIPA...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 55,000,000

KIWANJA CHA KWANZA LAMI KINA FENSI PANDE MBILI KINAUZWA MLIMWA C JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 640 sq ...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 55,000,000

Location: Mnada mpyaArea: Sqm 960Distance: Kutoka mjini kilomita 6. Ni kiwanja cha 3 kutoka lami (Si...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 55,000,000

Location: Mnada mpyaArea: Sqm 960Distance: Kutoka mjini kilomita 6. Ni kiwanja cha 3 kutoka lami (Si...

3 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 36,000,000

NAUZA NYUMBA YA KUMALIZIA โ€” MICHESE CENTER DODOMA ๐Ÿ‘‰ MUUNDO ๐Ÿ‘‰ Vyumba Vitatu Vya Kulala ๐Ÿ‘‰ viwili ...

3 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 36,000,000

NAUZA NYUMBA YA KUMALIZIA โ€” MICHESE CENTER DODOMA ๐Ÿ‘‰ MUUNDO ๐Ÿ‘‰ Vyumba Vitatu Vya Kulala ๐Ÿ‘‰ viwili ...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 54,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAKULU OSTERBAY SOUTH JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 1,120 sq.mKipo mjiniEneo limejeng...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 85,000,000

๐Ÿ‘‰KIWANJA KIZURI KINAUZWA๐Ÿ‘‰USIKOSE NA HIKIโž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–๐Ÿ“MAHALI- DODOMA ITEGA USHUANI โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–โž–๐Ÿ‘‰U...

4 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 46,000,000

NAUZA NYUMBA YA KUMALIZIA KIKUYU EXTENSION DODOMA JIRANI NA SGR STATION ๐Ÿ‘‰ MUUNDO ๐Ÿ‘‰ Vyumba Vinne ...

House for Rent at Mjini, Ruvuma
  • By Installment
  • Project

Sh. 50,000 per month

Tunauza viwanja Vilivyopimwa vipo chalinze mkoa wa Pwani eneo linaitwa Magome 4 km kabla ya kufika c...

House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 250,000

Nyumba nzima inapangishwa ipo Mbeya Mjini old airport hali ya hewa Bei 250k Call me 0785027773

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 8,500,000

MICHESE YA MWANZOni KABISA YANI MWANZO WA LAMI ๐Ÿ‘‰SQM 458 BLOCK ZE ๐Ÿ‘‰document invoice ๐Ÿ‘‰bei 8.5mili...

Plots for sale at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 50,000

Tunauza viwanja vipo Chalinze Mjini eneo linaitwa MagomeMradi upo mita 500 kutoka Morogoro roadViwan...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 10,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAKULU CENTRE JIJIN DODOMAEneo ukubwa ni 400 sq.mKipo jirani na mjiniMaji/Umeme upo...

House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 170,000,000

๐Ÿ™ NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA โœจ๏ธ MAHARI โžก๏ธ MAKULU DODOMA MJINIโœจ๏ธ MUUNDO NI LODGE โ–ถ๏ธ VYUMBA KUMI ...