Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
Sh. 100,000,000

NYUMBA INAUZWA AREA C-IPO KARIB NA MJINI.

(Vyumba 03-Kimoja masta,seble,jiko,dining,public toilet!)

KIWANJA-500sqm

DOCUMENT-HATI

BEI-ASK?

CHUKUA ELIMU HAPA (MUHIMU)
____________________________________________
1.MOJA KATI YA VIGEZO VYA MSINGI UNAPOANGALIA THAMANI YA NYUMBA NI MAHALI ILIPOJENGWA
____________________________________________

2.KATIKA MWAVULI WA REAL ESTATE UKITAKA KUWA REAL ESTATE INVESTOR MZURI LAZIMA UZINGATIE LOCATION PROPERTIES ZAKO ZILIPO.HIYO NI MOJA KATI YA SABABU ZA MSINGI SANA KIBIASHARA SABABU INASAIDIA KWENYE KUJUA THAMANI,KUPANGA BEI LAKINI PIA KUWEZA KUJUA RETURN YAKO (umewekeza lakini inaweza kukuchukua muda gani kupata ile pesa na faida kuanza kuiona?)
________________________________________________

3.KWA MKOA WA DODOMA MAENEO YENYE SOKO ZURI KIBIASHARA IWE KUPANGA,KUUZA NYUMBA BASI KWA HARAKA ZAIDI MAENEO YA AREA C,AREA D,UZUNGUNI,AREA A,AREA E(emmaus) Yanasoko zaidi
Naweza kukwambia nyumba nzuri ya kupanga Area C,Area D,Uzunguni,Emmaus(Area E) inaweza kuwa na bei kubwa kuliko nyumba zilizo maeneo ya kisasa,Ilazo,meriwa,makulu ama chidachi (Pita kwenye page hii hii kwaajili ya Research)
_____________________________________________
04.NIWAIBIE SIRI REAL ESTATE INVESTORS Badala ya kujenga nyumba yako ya kupanga ilazo,kisasa,n.k ambako kuanzia kiwanja mpaka nyumba vitakugharimu zaidi ya 100M ni mara kumi bora zaidi kununua Nyumba za bei nafuu(Wengi huziita za kizamani) maeneo karibu na mjini ambazo ukazi-Renovate zikakaa katika ubora mzuri na ukapangisha kwa bei nzuri zaidi ya hata uko ulikotaka kujenga sababu soko la mjini ni kubwa na linalipa zaidi.Na hata kwenye kuuza unaeza uza bei nzuri zaidi lakini pia kupata mteja kwa haraka ukilinganisha na maeneo mengine
_______________________________________________
05.WATU WENGI WANAKUWA NA HELA LAKINI WANAKOSA MTU SAHIHI WA KUMSHAURI,UKIHITAJI CONSULTATION KWENYE MASUALA YA REAL ESTATE NIPIGIE.
NI MUHIMU KUWA NA TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWA MTU SAHIHI KABLA YA KUFANYA JAMBO
"IF YOU WANT TO KNOW SOMETHING CONSULT AN EXPERT" SABABU SISI WASWAHILI HUWA TUNA MAJIBU YA KILA SWALI ILA HATUNA TAALUMA YA KILA KITU.
____________________________________________

Extraordinary_dodoma
dalali_extraordinary_dodoma
Extraordinary_dodoma

Similar items by location

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 8,700,000

ENEO LINAUZWA NZINJE MICHESE DODOMA.👉12km kutoka mjini na 4km kutoka zinapoishia daladala.👉Lina uk...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 3,500,000

Vipi kama utamiliki kiwanja Dodoma Mjini?? Eneo la mradi:Nghong’onha(UDOM)📌Km 9 kutoka Dodoma mjini...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • By Installment
  • Project

Sh. 80,000

TWENZETU SITE KESHO: NAULI NI TSH.10,000 TUNjoo umiliki kiwanja kwa Tsh.50,000 tu mjini Mkuranga taj...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 8,000,000

MJINI KATI MWANZANYUMBA INAPANGISHWA VYUMBA VIWILI VYA KULALA ((SELF 1))SEBURE KUBWAJIKOP.TOILETBEI ...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 17,500,000

KIWANJA KINAUZWA SWASWA DODOMA.👉8km kutoka mjini na mita 500 kutoka lami ya kwenda mpamaa.👉 Kiwanj...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 120,000

LUX SMART PROPERTIES INAKULETEA BIG SALES OFFER KILA MTU AMILIKI KIWANJA KILICHOPIMWA MILIKI KIWANJ...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mjini, Ruvuma

Sh. 8,000,000

MJINI KATI MWANZANYUMBA INAPANGISHWA VYUMBA VIWILI VYA KULALA ((SELF 1))SEBURE KUBWAJIKOP.TOILETBEI ...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 18,000,000

KIWANJA KINAUZWA MAKULU CENTRE JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 400 sq.mJirani na mjiniKinafaa kwa MAKAZI...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 12,000,000

KIWANJA KIZURI MJINI KINAUZWA____________________________MAHALI —KITELELA INATIONAL AIRPORT ________...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 74,000,000

KIWANJA KINAUZWA DODOMA MJINI 📍Mahali - *KIKUYU EXTENSION* Jirani na *Station ya SGR*Ukubwa - Squar...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 130,000,000

👉NYUMBA NZURII INAUZWA MAHUNGU DODOMA MJINI (SINGIDA ROAD)👉INA vyumba 4-1 master,sebule,dinning,ji...

Mashamba yanauzwa Mjini, Ruvuma
  • Agriculture
  • Project

Sh. 6,600,000

SHAMBA LINAUZWA CHINANGALI II DODOMA.👉47km kutoka mjini na 1km kutoka lami. Ni jirani sana na eneo ...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 17,000,000

Vyote vipo full Document (hati) price kila kimoja kinataka 17M, 6Km hadi mjini katiMaongezi yapo kid...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • By Installment
  • Project

Sh. 2,040,000

*MRADI MKUBWA WA VIWANJA UDOM NGHONGONHA*1.300sqm bei 2,040,000*Kila mwezi 340,000👆*2.587sqm bei 3,...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • By Installment
  • Project

Sh. 8,000 per sqm

Wajanja wananunua viwanja 📌📌Lipa kidogo kidogo kwa miezi 6Eneo la mradi:Ghong’onha(UDOM)📌Km 9 kut...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 8,000 per sqm

Vipi kama utamiliki kiwanja Dodoma Mjini?? Eneo la mradi:Ghong’onha(UDOM)📌Km 9 kutoka Dodoma mjini�...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 11,000,000

KIWANJA KIZURI MJINI KINAUZWA____________________________MAHALI —MTUMBA PAKALI SANA_________________...

Viwanja vinauzwa Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 1,500,000

*MRADI MKUBWA WA VIWANJA UDOM NGHONGONHA*1.300sqm bei 1,500,0002.587sqm bei 2,500,0003.587sqm bei 2,...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 148,000,000

Nyumba Inauzwa Dodoma mjiniLocation : Chang'ombe Extension📌Km 5 Kutoka Dodoma mjini📌Ukubwa wa kiw...

Kiwanja kinauzwa Mjini, Ruvuma

Sh. 16,000,000

KIWANJA KIZURI MJINI KINAUZWA____________________________MAHALI —MTUMBA D A PAKALI SANA_____________...