Plots for sale at Kibaha, Pwani


.
𝑼𝑵𝑨𝑯𝑰𝑻𝑨𝑱𝑰 𝑲𝑰𝑾𝑨𝑵𝑱𝑨 KIBAHA MILE MOJA (𝑷𝒂𝒏𝒈𝒂𝒏𝒊)?
✅ Jipatie kiwanja Bora cha makazi kibaha mile moja pangani kikiwa na miundombinu ya umeme maji na barabara.
✅ Viwanja vipo karibu na kituo cha afya cha mtakuja(pangani), km 4 tu kutoka barabara ya morogoro
✅ Bei ya Sqm1 ni 18000 malipo ya CASH na 20000 kwa sqm 1 malipo ya AWAMU.
✅ Viwanja vipo kuanzia ukubwa wa 20 kwa 20 (sqm400) hadi sqm 1000.
✅ Kutembelea mradi ni siku yoyote na ni Bila malipo (BURE)
NB: SINZA ilikuwa mabonde ya mpunga😂, MAGOMENI ilikuwa mapori ya kuwinda sungura😂, MBEZI iliitwa Mbezi ya shamba, 😂 lakini Leo hapashikiki kwa Bei,,,SASA WEWE ENDELEA KUSUBIRI PACHANGAMKEE!
📞 Wasiliana nasi kwa namba 0753311817
📲 WhatsApp namba 0621364769
#GreenLandRealEstate
#TheFutureIsHere