Plots for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 1,300,000
Project
Yes

OFA YA VIWANJA KUTOKA KAMPUNI YA RAMAHA LAND.NJOO NA LAKI MBILI NA KISHA ULIPE KIDOGO KIDOGO NDANI YA MIEZI SITA
_____________________________________
0699088721)!0674582245whtasp
_____________________________________Kampuni ya RAMAHA LAND tuna site zaidi ya kumi.

Kati ya hizo mbili zina ofa. Site ya 1,300,000/ anza na laki mbili tu kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi sita.

Na site ya 1,500,000/ anza na laki tatu kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi mitano.

Site zilizobaki anza na nusu ya bei kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi mitatu.

Viwanja vipo ,,,, MBAGALA MBANDE MIPEKO,,,,,, Jilani na uwanja wa mpira wa Azam uliopo Dar es salaam wilaya ya Temeke kata ya Chamazi. Umbali kutoka uwanja wa Azam mpaka kwenye viwanja ni kilomita nne tu. Ukitaka kufika mbande panda gari K /Koo,Temeke, Tandika, Posta na Buza nauli 700/=had Mbande magengeni shuka. Chukua bodaboda 🏍 1000 bajaji 🛺 500 hadi saiti
____________________________________
Ukubwa wa kiwanja na Bei zake

Futi 50 kwa 40 =million 1,000,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,200,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,300,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,500,000/=
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,600,000/=
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,800,000/=
Futi 50 kwa 40 =million 2,000,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 2,200,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 2,500,000/=
Futi 50 kwa 55 =milioni 3,000,000/=

KWA MITA KUNA
SQM 180
SQM 360
SQM 520
SQM 720
SQM 1080 ______________________________________
Huduma zote za kijamii zipo kwa mfano
Maji✓
Shule✓
Umeme✓
Zahanati✓
Balabala✓

Ofisi yetu ipo wazi kila siku kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na mbili jioni. Njoo ofisini twende site ukachagua kiwanja bora kwa makazi bora na salama.

Na unaweza ukaunganisha zaidi ya kimoja

Karibuni sana wateja KAMPUNI YA RAMAHA LAND uaminifu ni %%%100%%%

_____________________

Similar items by location

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 110,000,000

NYUMBA INAUZWAIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI-MBAGALA CHAMANZI KWA MKONGO_____________UKUBWA WA KIWANJA...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 75,000,000

NYUMBA IPO MBAGALA CHAMAZI MTAA WA DOVYA NYUMBA NZURI SANA MPYA KABISA IME JENGWA KISASA IKO VZURI S...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 75,000,000

NYUMBA IPO MBAGALA CHAMAZI MTAA WA DOVYA NYUMBA NZURI SANA MPYA KABISA IME JENGWA KISASA IKO VZURI S...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 75,000,000

NYUMBA IPO MBAGALA CHAMAZI MTAA WA DOVYA NYUMBA NZURI SANA MPYA KABISA IME JENGWA KISASA IKO VZURI S...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

NYUMBA IPO MBAGALA SAKU MZAMBALAUNI INA UZWA TSH MIL 35 TUMCHAWI RANGI TUINA VYUMBA VNNE VYA KULALA...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 85,000,000

#NYUMBA 🏠 I N A U Z W A LOCATION MBAGALA CHAMAZI NYUMBA NZURI SANA YA KISASA YA FAMILIA -----------...

4 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

#NYUMBA🏠 I N U Z W A LOCATION MBAGALA CHAMAZI NYUMBA NZURI SANA YA KISASA YA FAMILIA --------------...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 110,000,000

Nyumba inauzwa IPO mbagala maji matitu nyumba Ina vyumba 8 nyumba ya biashara nyumba umeme upo maji ...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 110,000,000

Nyumba inauzwa IPO mbagala maji matitu nyumba Ina vyumba 8 nyumba ya biashara nyumba umeme upo maji ...

Plots for sale at Mbagala, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 2,000,000

OFA YA VIWANJA BADO INAENDELEA ....Changamkia ofa viwanja, ndugu mtanzania kwa bei za kizawa. Kutok...

4 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

NYUMBA NZURI SANA INAUZWAMBAGALA MAJI MATITUPLOT SIZE 15*20MITA CHACHE TOKA BARABARA KUUSALES AGREEM...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 130,000,000

NYUMBA INA UZWA TSH MIL 130IPO MBAGALA CHAMAZI MFENESINI WILAYA YA TEMEKE KATA YA CHAMAZI INA VYUMBA...

4 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 110,000,000

House For Sale Location:Mbagala Chamazi Plot Size Sqm 700Documents:Sales Agreements 4 Bedrooms All M...

House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 250,000,000

GHOROFA NZURI MNO INAUZWA MBAGALA KITONGA DAR###INA FULL TITTLE DEED÷÷÷÷VYUMBA 7 KULALA 4 MASTERS,SE...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 110,000,000

NYUMBA I N A U Z W A TZS 110 MILIONILOCATION MBAGALA CHAMAZI DAR ES SALAAM TZ √ VYUMBA 3 VYA KULALA ...

3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 100,000,000

HOUSE FOR SALEDATE LISTED 03/06/2025HOUSE FOR SALE/ NYUMBA NZURI SANALOCATION: MBAGALA CHAMAZIFIXE...

4 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 110,000,000

HOUSE FOR SALEDATE LISTED 03/06/2025HOUSE FOR SALE/ NYUMBA NZURI SANALOCATION: MBAGALA CHAMAZIFIXE...

4 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 110,000,000

NYUMBA KARI SANA INAUZWA NA MWENYEWE IPO MBAGALA CHAMAZI KWA MKONGO HIIII NYUMBA NI KLOC : CHAMZI KW...

4 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 50,000

NYUMBA MPYA, VYUMBA VINNE (4) TSHS.110 MILIONI,MBAGALA CHAMAZI.Hii ni nyumba nzuri ya kisasa yenye n...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

DATE: 4/4/2025HOUSE FOR RENT: APARTMENTS ASKING PRICE: LAKI 3TERMS OF PAYMENT: MIEZI 4DIRECTION: MB...