Retail Space for Sale at Kivule, Dar Es Salaam


UMALIZIAJI MDOGO TU UMEBAKI NA BEI NI RAFIKI, WAHI.
Hii ni nyumba yenye Vyumba 3( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 680.
Ipo KIVULE FREMU KUMI (Minazini)
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Bei ni Tshs.36 Milioni.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mskv
umba inauzwa Kivule fremu kumi (minazini) wilaya ya Ilala Dar
👉BEI MILION 36 MAONGEZ YAPO👈
Vyumba v3 kimoja masta
Dining siting jiko
Tailz jipsam maji umeme
Eneo kubwa sanaa ni zaid ya sqm 680
Nyaraka ya serikal ya mtaa
Whatsap au piga