Plots for sale at Chamwino, Dodoma


Tumewaskiliza wateja wetu na tumefata maelekezo yenu pia!!!
๐Sasa unaweza kulipa kwa awamu
Yaani unalipa hadi miezi 12.
๐DODOMA CHAMWINO
-Sqm 1@8000 ( CASH)
-Sqm 1@12000 ( MKOPO)
๐Unaanza na 40% inayobaki utalipa LAKI 3 (300,000 )mpka utakapo maliza.
๐DODOMA NALA
-Sqm 1@10000 ( CASH)
-Sqm 1@15000 ( MKOPO)
๐Unaanza na 40% inayobaki unalipa LAKI 3 ( 300,000) mpk utakapo maliza.
๐ฉธSema nikutumie ramani uchague.chako mapemaa!!!! Zipo sqm zozote unazohitaji.
Tunasema #Tambanacho2025
#chafebruary
* Kuwahi kwako ndio kupata kwako, haya changamkia fursa ,viwanja vya bei chee!!
๐ฉธMradi umepimwa na unamawe ya wizara.
Huduma za kijamii zote zinapatikana.
-Huduma zote za kijamii zinapatikana
-Maji
-Umeme
-Shule
-Hospital
-Soko
* Mradi umepimwa na unamawe ya wizara
-Lipia CASH upatiwe HATI yako kwa haraka. .
โ๏ธTuwasiliane mapema
0674002002
0766651565