1 Bedrooms House for Rent in Kimara, Dar Es Salaam







Kimara, Ubungo, Dar Es Salaam
15 days ago
Sh. 125,000 per month
Type
House
Bedrooms
1
Description
๐น๐ฟ MASTER BEDROOM NZURI SANA INAPANGISHWA - KIMARA KOROGWE
๐ Eneo: Kimara Korogwe
๐ Umbali: Kutoka Stand ya Mwendo Kasi ni dakika 10โ12 kwa mguu. Kwa bodaboda Tsh 1000 tu mpaka getini.
๐ SIFA ZA NYUMBA:
๐น Chumba kimoja (Master Bedroom).
๐น Jiko zuri na la kisasa.
๐น Umeme & Maji (Submeter binafsi).
๐น Maji yanapatikana ndani masaa 24/7.
๐น Fenced & Parking kubwa sana na salama.
๐Nyumba hii inakuwa wazi tarehe 20/03/2026 kuona ndani na kufanya malipo luksa kabisa.
๐ฐ GHARAMA:
๐ธ Kodi: Tsh 125,000 ร 6 (Miezi sita)
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347
