Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 125,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Maelezo

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ MASTER BEDROOM NZURI SANA INAPANGISHWA - KIMARA KOROGWE

๐Ÿ“ Eneo: Kimara Korogwe
๐Ÿ•’ Umbali: Kutoka Stand ya Mwendo Kasi ni dakika 10โ€“12 kwa mguu. Kwa bodaboda Tsh 1000 tu mpaka getini.

๐Ÿ  SIFA ZA NYUMBA:
๐Ÿ”น Chumba kimoja (Master Bedroom).
๐Ÿ”น Jiko zuri na la kisasa.
๐Ÿ”น Umeme & Maji (Submeter binafsi).
๐Ÿ”น Maji yanapatikana ndani masaa 24/7.
๐Ÿ”น Fenced & Parking kubwa sana na salama.
๐Ÿ‘‰Nyumba hii inakuwa wazi tarehe 20/03/2026 kuona ndani na kufanya malipo luksa kabisa.

๐Ÿ’ฐ GHARAMA:
๐Ÿ”ธ Kodi: Tsh 125,000 ร— 6 (Miezi sita)

Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba

Mawasiliano 0656623510

Wsp 0752436347