10 Bedrooms House for Sale in Manzese Uzuri, Dar Es Salaam (350 sqm)

Type
House
Bedrooms
10
Plot Size
350 SQM
Nearest Road
100m — Sinza/Magomeni-Kanisani
Amenities
Description
NYUMBA MBILI ZINAUZWA NA BANK PAMOJA,TSHS.47 MILIONI MANZESE UZURI. Hapa ni jirani na MANZESE SEKONDARI. Umbali wa mita 100 tu kutoka Barabara ya Lami ya SINZA/MAGOMENI-KANISANI kupitia TANDALE. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350. Umiliki ni LESENI YA MAKAZI. Nyumba moja ina Vyumba 4 vya kulala. Na nyingine ina jumla ya Vyumba 6. NI NYUMBA YA KISWAHILI, Ambayo pengine inaweza kuhitaji MABORESHO. Hatahivyo ina Wapangaji. Pazuri kwa Biashara ya kupangisha. WAHI. ______________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 ______________jj




