10 Bedrooms House for Sale in Manzese Uzuri, Dar Es Salaam (350 sqm)

Type
House
Bedrooms
10
Plot Size
350 SQM
Nearest Road
100m — Sinza/Magomeni-Kanisani
Amenities
Description
NYUMBA MBILI ZINAUZWA NA BANK PAMOJA,TSHS.47 MILIONI MANZESE UZURI.
Hapa ni jirani na MANZESE SEKONDARI.
Umbali wa mita 100 tu kutoka Barabara ya Lami ya SINZA/MAGOMENI-KANISANI kupitia TANDALE.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350.
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.
Nyumba moja ina Vyumba 4 vya kulala.
Na nyingine ina jumla ya Vyumba 6.
NI NYUMBA YA KISWAHILI,
Ambayo pengine inaweza kuhitaji MABORESHO.
Hatahivyo ina Wapangaji.
Pazuri kwa Biashara ya kupangisha.
WAHI.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________jj





