Search

10 Bedrooms House for Sale in Manzese Uzuri, Dar Es Salaam (350 sqm)

video thumbnail
Sh. 47,000,000

Type

House

House for sale in Manzese

Bedrooms

10

10 bedroom House for sale in Manzese

Plot Size

350 SQM

Nearest Road

100m — Sinza/Magomeni-Kanisani

Amenities

Near Paved Road
Near School
Free Site Visit
Residential License

Description

NYUMBA MBILI ZINAUZWA NA BANK PAMOJA,TSHS.47 MILIONI MANZESE UZURI.

Hapa ni jirani na MANZESE SEKONDARI.
Umbali wa mita 100 tu kutoka Barabara ya Lami ya SINZA/MAGOMENI-KANISANI kupitia TANDALE.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350.
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.

Nyumba moja ina Vyumba 4 vya kulala.
Na nyingine ina jumla ya Vyumba 6.

NI NYUMBA YA KISWAHILI,
Ambayo pengine inaweza kuhitaji MABORESHO.

Hatahivyo ina Wapangaji.

Pazuri kwa Biashara ya kupangisha.

WAHI.

______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548
______________jj

Similar properties in Manzese, Dar Es Salaam