Nyumba ya vyumba 10 inauzwa Manzese Uzuri, Dar Es Salaam (350 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
10
Ukubwa
350 SQM
Barabara ya Karibu
100m — Sinza/Magomeni-Kanisani
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MBILI ZINAUZWA NA BANK PAMOJA,TSHS.47 MILIONI MANZESE UZURI. Hapa ni jirani na MANZESE SEKONDARI. Umbali wa mita 100 tu kutoka Barabara ya Lami ya SINZA/MAGOMENI-KANISANI kupitia TANDALE. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350. Umiliki ni LESENI YA MAKAZI. Nyumba moja ina Vyumba 4 vya kulala. Na nyingine ina jumla ya Vyumba 6. NI NYUMBA YA KISWAHILI, Ambayo pengine inaweza kuhitaji MABORESHO. Hatahivyo ina Wapangaji. Pazuri kwa Biashara ya kupangisha. WAHI. ______________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 ______________jj





