2 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam (300 sqm)

Type
House
Bedrooms
2
Plot Size
300 SQM
Nearest Road
3km
Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI FANI CITY (PONDE MAGENGENI) π‘
Unatafuta nyumba nzuri kwa bei nafuu katika eneo linalokua kwa kasi? Hii ndiyo nafasi yako!
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 2 vya kulala
β
Chumba 1 Master
β
Sebule
β
Jiko
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 300
π Mahali:
β’ Kilomita 3 kutoka barabara ya lami
β’ Kilomita 12 kutoka Feri
β’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π§± Kiwanja kimezungushiwa fensi pande 2, zimebaki pande 2 kukamilisha.
πΏ Eneo ni zuri, tulivu na linaendelea kuendelezwa kwa kasi.
π Dokumenti: Hati ya Serikali ya Mtaa.
π° Bei: TSh Milioni 18 (Fixed β hakuna mazungumzo).
π 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















