Tafuta

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam (300 sqm)

Sh. 18,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI FANI CITY (PONDE MAGENGENI) 🏑

Unatafuta nyumba nzuri kwa bei nafuu katika eneo linalokua kwa kasi? Hii ndiyo nafasi yako!

✨ Sifa za Nyumba:
βœ… Vyumba 2 vya kulala
βœ… Chumba 1 Master
βœ… Sebule
βœ… Jiko

πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 300

πŸ“ Mahali:
β€’ Kilomita 3 kutoka barabara ya lami
β€’ Kilomita 12 kutoka Feri
β€’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

🧱 Kiwanja kimezungushiwa fensi pande 2, zimebaki pande 2 kukamilisha.
🌿 Eneo ni zuri, tulivu na linaendelea kuendelezwa kwa kasi.

πŸ“„ Dokumenti: Hati ya Serikali ya Mtaa.

πŸ’° Bei: TSh Milioni 18 (Fixed – hakuna mazungumzo).

πŸ“ž 0769554221

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam