2 Bedrooms House for sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Amenities
Description
š¢ NYUMBA ZA BIASHARA ZINAUZWA ā TABATA SEGEREA
Fursa adimu kwa mwekezaji anayehitaji kipato cha uhakika kila mwezi!
šļø Jumla ya nyumba: 22
š Kila nyumba ina:
* Vyumba 2 (kimoja Master)
* Sebule
* Jiko
* Choo cha Public
* Maji na umeme wa kujitegemea
šµ Kodi ya sasa: TSh 400,000 kwa kila nyumba kwa mwezi.
š Mapato:
* Zaidi ya TSh Milioni 8 kwa mwezi
* Zaidi ya TSh Milioni 100 kwa mwaka
š” Fursa ya kuongeza mapato:
Unaweza kufanya maboresho madogo kama:
* Kufunga AC
* Kuweka makabati ya jikoni
* Kuweka paving ndani ya compound
* Kuboresha finishing
Baada ya maboresho hayo, unaweza kuongeza kodi hadi TSh 600,000ā700,000 kwa kila nyumba, hivyo kuongeza mapato yako kwa kiasi kikubwa.
š Eneo ni zuri, lina mahitaji makubwa ya wapangaji na thamani ya mali inaendelea kuongezeka kila mwaka.
š° Bei: TSh Bilioni 1.2
š Wasiliana: 0688 412 890
š° Service Charge: TSh 30,000/=
Hii ni fursa ya kweli kwa mwekezaji anayefikiria faida ya muda mrefu. Karibu tufanye biashara.
Dalali Wakishua ā Miliki Kesho Yako Leo!!!















