3 Bedrooms Apartment for Rent in Madale, Dar Es Salaam

Type
Apartment
Bedrooms
3
Bathrooms
2
Nearest Road
1km
Description
π‘ APARTMENT YA VYUMBA 3 VYA KULALA INAPANGISHWA β MADALE
π° Kodi: TZS 700,000 kwa Mwezi
Furahia maisha ya kisasa katika apartment nzuri iliyopo Madale, eneo tulivu na salama.
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
β
Sebule kubwa na yenye nafasi ya kutosha
β
Eneo la Dining
β
Jiko la kisasa lenye makabati
β
Public Toilet
β
Makabati ya nguo kwenye vyumba
π Mahali:
β’ Madale
β’ Takribani kilomita 1 kutoka barabara kuu
πΉ Huduma Zilizopo:
β Full Air Condition (AC)
β Heater ya maji
β Maegesho ya magari (Parking)
β Ulinzi wa saa 24
π³ Masharti ya Malipo:
β’ Kodi: TZS 700,000 kwa mwezi
β’ Malipo ya miezi 6 mbele
π Gharama Nyingine:
β’ Service Charge: TZS 30,000 (mara moja tu)
β’ Udalali: Kodi ya mwezi mmoja
π Kwa maelezo zaidi au kupanga kuona nyumba:
π² Piga/WhatsApp: +255 692 932 076















