3 Bedrooms Apartment for Sale in Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (400 sqm)

Amenities
Description
🏘️ APARTMENTS ZINAUZWA – KINYEREZI KIBAGA
💥 Fursa Adimu ya Uwekezaji!
📍 Eneo: Kinyerezi Kibaga
💰 Bei: Milioni 58 Tu!
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 400
Sifa za Nyumba:
✅ Apartments 3
✅ Kila nyumba ina Master, Sebule na Jiko
✅ Zipo ndani ya fensi
✅ Gari linafika hadi kwenye nyumba
✅ Maji na umeme vinapatikana
✅ Zote tayari zimepangishwa
💵 Mapato ya sasa: Kila nyumba inapangishwa TSh 250,000 kwa mwezi.
📈 Fursa ya kuongeza mapato: Kadri maendeleo ya eneo la Kinyerezi Kibaga yanavyoendelea, kodi inaweza kufikia TSh 300,000–350,000 kwa kila nyumba kulingana na maboresho na hali ya soko.
🔥 Nunua leo, anza kupata mapato ya kodi mara moja huku thamani ya mali yako ikiendelea kuongezeka.
📞 Service Charge: 30,000/=
📞 Wasiliana: +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!







