Tafuta

Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 58,000,000

Maelezo

🏘️ APARTMENTS ZINAUZWA – KINYEREZI KIBAGA

💥 Fursa Adimu ya Uwekezaji!

📍 Eneo: Kinyerezi Kibaga
💰 Bei: Milioni 58 Tu!
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 400

Sifa za Nyumba:

✅ Apartments 3
✅ Kila nyumba ina Master, Sebule na Jiko
✅ Zipo ndani ya fensi
✅ Gari linafika hadi kwenye nyumba
✅ Maji na umeme vinapatikana
✅ Zote tayari zimepangishwa

💵 Mapato ya sasa: Kila nyumba inapangishwa TSh 250,000 kwa mwezi.

📈 Fursa ya kuongeza mapato: Kadri maendeleo ya eneo la Kinyerezi Kibaga yanavyoendelea, kodi inaweza kufikia TSh 300,000–350,000 kwa kila nyumba kulingana na maboresho na hali ya soko.

🔥 Nunua leo, anza kupata mapato ya kodi mara moja huku thamani ya mali yako ikiendelea kuongezeka.

📞 Service Charge: 30,000/=
📞 Wasiliana: +255 688 412 890

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Matangazo yanayofanana Kinyerezi, Dar Es Salaam

Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 58,000,000

For Sale3 beds3 baths400 sqmapartment
  • Maji

  • Parking Space

  • Umeme

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Ulongoni B, Dar Es Salaam (330 sqm)

Sh. 68,000,000

For Sale1 bed1 bath330 sqmapartment
  • Hati

  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Ulongoni B, Dar Es Salaam (330 sqm)

Sh. 68,000,000

For Sale1 bed1 bath330 sqmapartment
  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

  • Ardhi Tambarare

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Ulongoni B, Dar Es Salaam (330 sqm)

Sh. 68,000,000

For Sale1 bed330 sqmapartment
  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

  • Ardhi Tambarare

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Ulongoni B, Dar Es Salaam (330 sqm)

Sh. 68,000,000

For Sale1 bed330 sqmapartment
  • Hati

  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Ulongoni B, Dar Es Salaam (330 sqm)

Sh. 68,000,000

For Sale1 bed330 sqmapartment
  • Maji

  • Umeme

  • Luku Inajitegemea

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Ulongoni B, Dar Es Salaam (330 sqm)

Sh. 68,000,000

For Sale1 bed330 sqmapartment
  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

  • Ardhi Tambarare

Apartments zinauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam

Sh. 95,000,000

For Saleapartment
  • Ndani ya Compound