3 Bedrooms House for Sale in Kigogo Fresh, Pugu, Dar Es Salaam (704 sqm)

Description
NYUMBA YENYE SWIMMING-POOL,TSHS.95 MILIONI,KIGOGO-FRESH/PUGU.
Hapa ni kabla ya kufika CHANIKA Ukitokea PUGU-KONA, Wilaya ya Ilala.
Nyumba ni ya kisasa.
Vyumba 3 (Kila Chumba na Choo chake ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 704.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Parking ipo na ina Paving Block
WAHI UJITWALIE MAPEMA.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________tP















