3 Bedrooms House for sale in Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam

Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA β KINYEREZI SHULE, DAR ES SALAAM π‘
π° Bei: Milioni 180 Tu (Mazungumzo Kidogo kwa Mteja Serious)
Nyumba nzuri na ya kisasa inapatikana Kinyerezi Shule katika eneo zuri na linalokua kwa kasi.
β
Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
β
Sebule kubwa
β
Jiko la kisasa
β
Boyβs Quarter yenye chumba na sebule
β
Ndani ya Fence
β
Parking ya kutosha
β
Maji na Umeme vipo
β
Barabara nzuri, gari linafika hadi nyumbani
β
Hakuna changamoto yoyote ya mazingira
Nyumba hii inafaa kwa:
π Makazi ya familia
π’ Biashara au uwekezaji wa kupangisha
Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba katika eneo lenye thamani inayoongezeka kila siku.
π Muhitaji piga: +255688412890
π΅ Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=
β¨ Wahi Sasa Offer Kabambe!
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















