Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – KINYEREZI SHULE, DAR ES SALAAM 🏡
💰 Bei: Milioni 180 Tu (Mazungumzo Kidogo kwa Mteja Serious)
Nyumba nzuri na ya kisasa inapatikana Kinyerezi Shule katika eneo zuri na linalokua kwa kasi.
✅ Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko la kisasa
✅ Boy’s Quarter yenye chumba na sebule
✅ Ndani ya Fence
✅ Parking ya kutosha
✅ Maji na Umeme vipo
✅ Barabara nzuri, gari linafika hadi nyumbani
✅ Hakuna changamoto yoyote ya mazingira
Nyumba hii inafaa kwa:
🏠 Makazi ya familia
🏢 Biashara au uwekezaji wa kupangisha
Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba katika eneo lenye thamani inayoongezeka kila siku.
📞 Muhitaji piga: +255688412890
💵 Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=
✨ Wahi Sasa Offer Kabambe!
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















