Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 180,000,000

Maelezo

🏡 NYUMBA INAUZWA – KINYEREZI SHULE, DAR ES SALAAM 🏡

💰 Bei: Milioni 180 Tu (Mazungumzo Kidogo kwa Mteja Serious)

Nyumba nzuri na ya kisasa inapatikana Kinyerezi Shule katika eneo zuri na linalokua kwa kasi.

✅ Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko la kisasa
✅ Boy’s Quarter yenye chumba na sebule
✅ Ndani ya Fence
✅ Parking ya kutosha
✅ Maji na Umeme vipo
✅ Barabara nzuri, gari linafika hadi nyumbani
✅ Hakuna changamoto yoyote ya mazingira

Nyumba hii inafaa kwa:
🏠 Makazi ya familia
🏢 Biashara au uwekezaji wa kupangisha

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba katika eneo lenye thamani inayoongezeka kila siku.

📞 Muhitaji piga: +255688412890
💵 Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=

✨ Wahi Sasa Offer Kabambe!
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam (2000 sqm)

Sh. 450,000,000

For Sale4 beds2 baths2,000 sqmhouse