3 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamaz Dovya, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
3
Amenities
Description
Bonge la jumba ina uzwa tsh mil 64 tu Ipo mbagala chamaz dovya jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya Ipo jilani kabisa na shule ya dovya Nyumba nzuri sana Kuna nyumba kubwa Ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet Pia uwani Kuna banda la uwani luna chumba na sebule na choo Na frem 3 za maduka Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp ๐น๐ฟ 0759 203175 0652 618 143 ๐น๐ฟ 3















