3 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamaz Dovya, Dar Es Salaam

Amenities
Description
Bonge la jumba ina uzwa tsh mil 64 tu
Ipo mbagala chamaz dovya jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya
Ipo jilani kabisa na shule ya dovya
Nyumba nzuri sana
Kuna nyumba kubwa Ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet
Pia uwani Kuna banda la uwani luna chumba na sebule na choo
Na frem 3 za maduka
Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp πΉπΏ 0759 203175 0652 618 143 πΉπΏ 3















