4 Bedrooms House for Rent in Kinyerezi, Dar Es Salaam

Amenities
Description
Nyumba yangu hiyo nahitaji laki 250 kwa mwezi nafanya na marekebisho ipo kinyerezi mwisho boda 1000 hata kwa miguu unatembea vyumba vinne kimoja master na jiko na pia nje kuna jiko na vyoo pazuri sana maji dawasa na marekebisho ukitaka kuhamia Hakuna udalali
0782438858















