5 Bedrooms House for Sale in Kibada, Dar Es Salaam (1000 sqm)
Type
House
Bedrooms
5
Plot Size
1000 SQM
Nearest Road
200m
Amenities
Description
๐ก CLASSIC HOUSE INAUZWA โ KIGAMBONI, KIBADA ๐ก
Je, unatafuta nyumba ya kifahari yenye nafasi kubwa na fursa nyingi za uwekezaji? Hii ndiyo chaguo sahihi!
โจ Sifa za Nyumba:
โ
Vyumba 5 vya kulala, vyote Master
โ
Sebule kubwa
โ
Dining room
โ
Jiko la kisasa
โ
Eneo la SQM 1,000
โ
Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Umiliki
๐ Mahali: Kigamboni โ Kibada
* Mita 200 tu kutoka barabara ya lami
* Kilomita 6 kutoka Ferry
* Kilomita 5 kutoka Daraja la Mwalimu Julius Nyerere
๐ Nyumba ipo katika mtaa mzuri wenye mazingira safi na salama. Inafaa kwa:
โ๏ธ Makazi ya kifahari
โ๏ธ Airbnb
โ๏ธ House Party Venue
โ๏ธ Boutique Hotel
โ๏ธ Uwekezaji wenye faida
๐ฐ Bei: TZS Milioni 600
๐ค Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
๐
#trendingvideo #istagram #realestateinvestment #realestateagent #tanzania















