5 Bedrooms House for Sale in Kisota, Dar Es Salaam (1500 sqm)
Description
π₯ GHOROFA LA KIFAHARI LINAPATIKANA KISOTA β KIGAMBONI, DAR ES SALAAM π‘
Unatafuta property yenye location ya kimkakati kwa makazi na biashara? Hii inaweza kuwa nafasi yako! π₯
π’ GHOROFA LINAKUJA NA:
β
Vyumba 5 vya kulala β 3 ni Master
β
Sebule kubwa + Dining + Jiko
β
Store
β
Frames 6 kubwa
β
Garden
β
Nafasi kubwa ya kuweka Swimming Pool
β
Eneo la SQM 1,500
β
Corner Plot, linagusa barabara mbili
π£οΈ Barabara moja ni lami, nyingine ni barabara kubwa ya mtaa
π Limepimwa na lina Hati ya Wizara
π LOCATION: Kigamboni, Kisota β Dar es Salaam
β Eneo lenye thamani kubwa na linapanda thamani kwa kasi.
π Takribani KM 4 mpaka Feri
π Takribani KM 3 mpaka Darajani
πΌ FAIDA YA LOCATION:
Eneo linafaa kwa makazi pamoja na biashara, na lipo sehemu yenye shughuli nyingi za kibiashara. Ni property ambayo inaweza kuwa nzuri kwa matumizi binafsi au uwekezaji.
π° BEI: TSH 1,000,000,000/= (BILIONI 1)
π€ Mazungumzo yapo kwa mteja serious.
π₯ PROPERTY YA AINA HII KWENYE LOCATION KAMA HII SI RAHISI KUPATIKANA!
π Kwa viewing na maelezo zaidi, wasiliana nasi.
#dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestate #Kigamboni Kisota GhorofaLinauzwa PropertyForSale Investment creatorsearchinsights















