6 Bedrooms House for Sale in Mbagala Kuu Stendi, Dar Es Salaam (400 sqm)
Amenities
Description
š” NYUMBA INAUZWA ā MBAGALA KUU STENDI š”
š° Bei: Milioni 50 tu (Maongezi yapo)
Usikose fursa hii ya kipekee ya kumiliki nyumba yenye eneo kubwa, iliyopo jirani kabisa na barabara kuu ya lami.
ā
Ina vyumba 6
ā
Ina banda la vyumba 3
ā
Eneo kubwa la takribani Square Meter 400
ā
Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha
ā
Ipo Mbagala Kuu Stendi, karibu sana na huduma zote muhimu.
š„ Wahi mapema! Fursa kama hii hazidumu sokoni.
š Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda site, piga simu: 0683 665504
Hasara kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!















