6 Bedrooms House for Sale in Mbagala Kuu Stendi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA β MBAGALA KUU STENDI π‘
π° Bei: Milioni 50 tu (Maongezi yapo)
Usikose fursa hii ya kipekee ya kumiliki nyumba yenye eneo kubwa, iliyopo jirani kabisa na barabara kuu ya lami.
β
Ina vyumba 6
β
Ina banda la vyumba 3
β
Eneo kubwa la takribani Square Meter 400
β
Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha
β
Ipo Mbagala Kuu Stendi, karibu sana na huduma zote muhimu.
π₯ Wahi mapema! Fursa kama hii hazidumu sokoni.
π Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda site, piga simu: 0683 665504
Hasara kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!















