6 Bedrooms House for Sale in Mbagala Kuu Stendi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Amenities
Description
🏡 NYUMBA INAUZWA – MBAGALA KUU STENDI 🏡
💰 Bei: Milioni 50 tu (Maongezi yapo)
Usikose fursa hii ya kipekee ya kumiliki nyumba yenye eneo kubwa, iliyopo jirani kabisa na barabara kuu ya lami.
✅ Ina vyumba 6
✅ Ina banda la vyumba 3
✅ Eneo kubwa la takribani Square Meter 400
✅ Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha
✅ Ipo Mbagala Kuu Stendi, karibu sana na huduma zote muhimu.
🔥 Wahi mapema! Fursa kama hii hazidumu sokoni.
📞 Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda site, piga simu: 0683 665504
Hasara kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!















