Search

6 Bedrooms House for Sale in Mbagala Kuu Stendi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 50,000,000

Description

šŸ” NYUMBA INAUZWA – MBAGALA KUU STENDI šŸ”

šŸ’° Bei: Milioni 50 tu (Maongezi yapo)

Usikose fursa hii ya kipekee ya kumiliki nyumba yenye eneo kubwa, iliyopo jirani kabisa na barabara kuu ya lami.

āœ… Ina vyumba 6
āœ… Ina banda la vyumba 3
āœ… Eneo kubwa la takribani Square Meter 400
āœ… Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha
āœ… Ipo Mbagala Kuu Stendi, karibu sana na huduma zote muhimu.

šŸ”„ Wahi mapema! Fursa kama hii hazidumu sokoni.

šŸ“ž Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda site, piga simu: 0683 665504
Hasara kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!

Similar properties in Mbagala, Dar Es Salaam