Tafuta

Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Mbagala Kuu Stendi, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 50,000,000

Maelezo

🏡 NYUMBA INAUZWA – MBAGALA KUU STENDI 🏡

💰 Bei: Milioni 50 tu (Maongezi yapo)

Usikose fursa hii ya kipekee ya kumiliki nyumba yenye eneo kubwa, iliyopo jirani kabisa na barabara kuu ya lami.

✅ Ina vyumba 6
✅ Ina banda la vyumba 3
✅ Eneo kubwa la takribani Square Meter 400
✅ Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha
✅ Ipo Mbagala Kuu Stendi, karibu sana na huduma zote muhimu.

🔥 Wahi mapema! Fursa kama hii hazidumu sokoni.

📞 Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda site, piga simu: 0683 665504
Hasara kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!

Matangazo mengine Mbagala, Dar Es Salaam