1 Bedroom Apartment for Sale in Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (350 sqm)

Amenities
Description
#Repost dalali_viwanja_nyumba_dar_
โโ
๐๏ธ APARTMENTS ZINAUZWA โ KINYEREZI KIBAGA
๐ฅ Fursa Adimu ya Uwekezaji!
๐ Eneo: Kinyerezi Kibaga
๐ฐ Bei: Milioni 65tu
๐ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 350
Sifa za Nyumba:
โ
Apartments 3
โ
Kila nyumba ina Master, Sebule na Jiko
โ
Zipo ndani ya fensi
โ
Gari linafika hadi kwenye nyumba
โ
Maji na umeme vinapatikana
โ
Zote tayari zimepangishwa
๐ต Mapato ya sasa: Kila nyumba inapangishwa TSh 250,000 kwa mwezi.
๐ Fursa ya kuongeza mapato: Kadri maendeleo ya eneo la Kinyerezi Kibaga yanavyoendelea, kodi inaweza kufikia TSh 300,000โ350,000 kwa kila nyumba kulingana na maboresho na hali ya soko.
๐ฅ Nunua leo, anza kupata mapato ya kodi mara moja huku thamani ya mali yako ikiendelea kuongezeka.
๐ Service Charge: 50,000/=
๐ Wasiliana: +255 768682919 au 0653233641
Miliki Kesho Yako Leo!!!











