1 Bedroom Apartment for Sale in Kivule, Dar Es Salaam
Amenities
Description
🏘️ APARTMENTS ZINAUZWA – KIVULE, DAR ES SALAAM
Unatafuta uwekezaji wenye kipato cha uhakika? Hii ndiyo fursa yako!
📍 Location: Kivule, Frame 10
✨ Sifa za Nyumba
✅ Apartments 3 mpya kabisa
✅ Kila apartment ina Chumba 1 (Master), Sebule na Choo cha ndani
✅ Choo cha nje kwa wageni
✅ Zipo ndani ya fence
✅ Parking ya kutosha
✅ Maji na umeme vinapatikana
🛍️ Frame 4 za Biashara
* Kila frame inapangishwa kwa TSh 100,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya frame: TSh 400,000/= kwa mwezi
🏠 Apartments 3
* Kila apartment inapangishwa kwa TSh 150,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya apartments: TSh 450,000/= kwa mwezi
💰 Jumla ya Mapato ya Kodi
* TSh 850,000/= kwa mwezi
* TSh 10,200,000/= kwa mwaka
💵 Bei ya Uuzaji: TSh 50,000,000/= tu.
Hii ni fursa bora kwa mwekezaji anayetafuta mali yenye mapato ya uhakika kila mwezi.
Service Charge / Viewing Fee: TSh 20,000/=
📞 Muhitaji piga: +255 688 412 890
Dalali wako Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!
#uwekezaji
#daressalaam
#viwanja
#dalaliwakowakishua





