Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
šļø APARTMENTS ZINAUZWA ā KIVULE, DAR ES SALAAM
Unatafuta uwekezaji wenye kipato cha uhakika? Hii ndiyo fursa yako!
š Location: Kivule, Frame 10
⨠Sifa za Nyumba
ā
Apartments 3 mpya kabisa
ā
Kila apartment ina Chumba 1 (Master), Sebule na Choo cha ndani
ā
Choo cha nje kwa wageni
ā
Zipo ndani ya fence
ā
Parking ya kutosha
ā
Maji na umeme vinapatikana
šļø Frame 4 za Biashara
* Kila frame inapangishwa kwa TSh 100,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya frame: TSh 400,000/= kwa mwezi
š Apartments 3
* Kila apartment inapangishwa kwa TSh 150,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya apartments: TSh 450,000/= kwa mwezi
š° Jumla ya Mapato ya Kodi
* TSh 850,000/= kwa mwezi
* TSh 10,200,000/= kwa mwaka
šµ Bei ya Uuzaji: TSh 50,000,000/= tu.
Hii ni fursa bora kwa mwekezaji anayetafuta mali yenye mapato ya uhakika kila mwezi.
Service Charge / Viewing Fee: TSh 20,000/=
š Muhitaji piga: +255 688 412 890
Dalali wako Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!
#uwekezaji
#daressalaam
#viwanja
#dalaliwakowakishua


