Tafuta

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

Maelezo

🏘️ APARTMENTS ZINAUZWA – KIVULE, DAR ES SALAAM

Unatafuta uwekezaji wenye kipato cha uhakika? Hii ndiyo fursa yako!

📍 Location: Kivule, Frame 10

✨ Sifa za Nyumba
✅ Apartments 3 mpya kabisa
✅ Kila apartment ina Chumba 1 (Master), Sebule na Choo cha ndani
✅ Choo cha nje kwa wageni
✅ Zipo ndani ya fence
✅ Parking ya kutosha
✅ Maji na umeme vinapatikana

🛍️ Frame 4 za Biashara

* Kila frame inapangishwa kwa TSh 100,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya frame: TSh 400,000/= kwa mwezi

🏠 Apartments 3

* Kila apartment inapangishwa kwa TSh 150,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya apartments: TSh 450,000/= kwa mwezi

💰 Jumla ya Mapato ya Kodi

* TSh 850,000/= kwa mwezi
* TSh 10,200,000/= kwa mwaka

💵 Bei ya Uuzaji: TSh 50,000,000/= tu.

Hii ni fursa bora kwa mwekezaji anayetafuta mali yenye mapato ya uhakika kila mwezi.

Service Charge / Viewing Fee: TSh 20,000/=

📞 Muhitaji piga: +255 688 412 890

Dalali wako Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

#uwekezaji
#daressalaam
#viwanja
#dalaliwakowakishua

Matangazo mengine Kivule, Dar Es Salaam

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

For Sale1 bed2 bathsapartment
Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

For Sale1 bed2 bathsapartment
Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

For Sale1 bed2 bathsapartment
Apartment inauzwa Kivule, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 50,000,000

For Sale400 sqmapartment