Tafuta

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000,000

Maelezo

šŸ˜ļø APARTMENTS ZINAUZWA – KIVULE, DAR ES SALAAM

Unatafuta uwekezaji wenye kipato cha uhakika? Hii ndiyo fursa yako!

šŸ“ Location: Kivule, Frame 10

✨ Sifa za Nyumba
āœ… Apartments 3 mpya kabisa
āœ… Kila apartment ina Chumba 1 (Master), Sebule na Choo cha ndani
āœ… Choo cha nje kwa wageni
āœ… Zipo ndani ya fence
āœ… Parking ya kutosha
āœ… Maji na umeme vinapatikana

šŸ›ļø Frame 4 za Biashara

* Kila frame inapangishwa kwa TSh 100,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya frame: TSh 400,000/= kwa mwezi

šŸ  Apartments 3

* Kila apartment inapangishwa kwa TSh 150,000/= kwa mwezi
* Jumla ya mapato ya apartments: TSh 450,000/= kwa mwezi

šŸ’° Jumla ya Mapato ya Kodi

* TSh 850,000/= kwa mwezi
* TSh 10,200,000/= kwa mwaka

šŸ’µ Bei ya Uuzaji: TSh 50,000,000/= tu.

Hii ni fursa bora kwa mwekezaji anayetafuta mali yenye mapato ya uhakika kila mwezi.

Service Charge / Viewing Fee: TSh 20,000/=

šŸ“ž Muhitaji piga: +255 688 412 890

Dalali wako Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

#uwekezaji
#daressalaam
#viwanja
#dalaliwakowakishua

Matangazo mengine Kivule, Dar Es Salaam