Search

2 Bedrooms Apartment for Rent in Mbagala Chamazi Mfenesini, Dar Es Salaam

Sh. 200,000/month

Description

Apartment inapangishwa bei laki 2 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea. Nyumba IPO ipo mbagala chamazi mfenesini. Apartment ina rooms 2 vyakulala sitting room, jiko, room moja ni master bedroom na public toilet ipo pia, tiliz, madilisha vioo, mafeni juu panga boy yapo, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk na fensi pia ipo lkn cio yakuingia gari. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika moja ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.

Similar properties in Chamazi, Dar Es Salaam