Shop for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

Amenities
Description
🔥 FREM INAPANGISHWA SINZA – TSH 150,000/= 🔥
Unatafuta frem kwa bei nafuu katika eneo zuri la biashara? Hii hapa fursa yako!
âś… Frem kubwa na yenye nafasi ya kutosha
âś… Ipo mtaa mzuri na unaofikika kirahisi
âś… Inafaa kwa biashara yoyote
âś… Mazingira mazuri kwa ukuaji wa biashara yako
đź’° Kodi: TSH 150,000/= kwa mwezi
đź§ľ Service Charge: TSH 30,000/=
📞 Call: 0787093748
Wahi kuwasiliana nasi kwa maelezo zaidi na ukaguzi wa eneo.















