Farm for Sale in Malela Kisima, Mkuranga, Pwani (30 acre)
Amenities
Description
*🔥 SHAMBA LA KILIMO + BIASHARA HEKARI 30 🔥*
*📍 MALELA KISIMA(MKURANGA PWANI )| KM 45 KUTOKA CITY CENTER DAR*
*BEI: TSH 700,000,000 | MAONGEZI YAPO*
Wekeza kwenye shamba lililokamilika! Huna haja ya kuanzia mwanzo 👇
*âś… NINI KIPO NDANI:*
1. *Hati KAMILI* ya Wizara ya Ardhi - 100% Safi
2. *Mazao ya Kudumu*: Minazi, Miembe, Michungwa, Ndimu na mengineyo
3. *Nyumba 3 za Kisasa* + *Godauni 1* + *Banda za Chumba Sebule 4*
4. *Vifaa*: TRACTA 1 Mpya, Mfumo Kamili wa Umwagiliaji
5. *Mabwawa 20* yenye Samaki - Mapato ya kila siku
6. *Nishati*: Solar Panel + Generator KV5
(7) Ng'ombe wa kisasa wa maziwa 15
8). *Eneo Zuri*: Km 45 tu kutoka City Center na kilometa 23 kutoka VIKINDU KILWA ROAD
*Hii ni PAKIJI kamili ya kilimo na uwekezaji!*
Ingia upate mapato mara moja.
0763411222
*📞 WASILIANA NASI SASA:*
Piga/WhatsApp: [071688b78799]









