Farm for Sale in Mwanzega, Mkuranga, Pwani (120 acre)
Amenities
Description
SHAMBA/ARDHI SAFI, EKA 120, TSHS.180 MILIONI,MWANZEGA,MKURANGA.
Kijiji GADAGADA,
Wanakolima Pilipili-Hoho (Maji yapo)
Ni njia ya kuelekea KISIJU.
Unaingilia MBEZI.
Kilomita 13 kutika Barabara kubwa.
Ni jirani na KIJIJI CHA WASANII.
Hapa unaweza kufanya shughuli za:
●Kilimo,
●Kuchimba Mchanga wa Ujenzi wa jumla,
●inasemekana Mcha wa hapa ni Malighafi Viwandani.
WACHINA WANAUNUNUA.
●Vilevile ni bora kwa UFUGAJI hasa wa MBUZI.
Chaguo ni lako muwekezaji.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
TUNAHITAJI MNUNUZI WA SHAMBA LOTE.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________HLMLMa








