Search

Residential Plot for Sale in Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (150 sqm)

video thumbnail
Sh. 4,000,000

Description

๐Ÿก KIWANJA KINAUZWA โ€“ TABATA SEGEREA CHAMA

๐Ÿ“ Eneo: Tabata Segerea Chama
๐Ÿ“ Ukubwa: SQM 150
๐Ÿ’ฐ Bei: TSh Milioni 4

Hiki ni kiwanja kizuri kwa uwekezaji wa nyumba za biashara na kukuletea kipato cha kila mwezi.

Unaweza kujenga:
๐Ÿ˜๏ธ Single Rooms 4โ€“6 (choo kimoja cha pamoja), au
๐Ÿ  Master Rooms 4 zenye choo cha ndani.

๐Ÿ’ต Makadirio ya Kodi

Single Room:

* Kodi kwa chumba: TSh 80,000 โ€“ 100,000 kwa mwezi.
* Ukijenga vyumba 6:
* 6 ร— 80,000 = TSh 480,000 kwa mwezi.
* 6 ร— 100,000 = TSh 600,000 kwa mwezi.

Master Room:

* Kodi kwa chumba: TSh 100,000 โ€“ 120,000 kwa mwezi.
* Ukijenga master 4:
* 4 ร— 100,000 = TSh 400,000 kwa mwezi.
* 4 ร— 120,000 = TSh 480,000 kwa mwezi.

๐Ÿ”ฅ Kwa bei ya Milioni 4 tu, hiki ni kiwanja kinachofaa kwa mtu anayetaka kuanza uwekezaji wa nyumba za kupangisha na kujenga chanzo cha kipato cha uhakika.

๐Ÿ’ฐ Service Charge: TSh 20,000/=
๐Ÿค Udalali: 10%

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi: +255 688 412 890

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Similar properties in Segerea, Dar Es Salaam